Kutamu balaa

Kutamu balaa

papaa2015

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2012
Posts
411
Reaction score
101
Jamani sisi tunaoishi mikoani tunakosa mengi,tukija DAR tunatamani kubaki huku,eti

-club nzuri ziko Dar
-Pub za uhakika
-Watoto wazuri

Kwa kweli Dar kutamu balaa,hata huko Tmk tunakosikia pabaya panachanganya kinomaaa.Lazima nihamie Dar na mimi.Sema sikupata mwenyeji hata wa kuwa nae mpaka zinabaki siku 4 niondoke
 
Najua unataka tuje tujazane hapo Dar ila mimi sidanganyiki ng'o nabaki zangu hapa hapa Mtwara. LIWALO NA LIWE!
 
Hivi mkoani ni wapi?
Hivi Dar sio mkoani?
 
Dar tu unapashobokea hivyo je ukienda kuleeeee...... Si ndio itakuwa balaa?
 
huko kwenu mkoani Ndio kuzuri,acha kushobokea huku hakuna mpango ...
 
Jiji linaloongoza kwa maisha magumu East africa!!
 
kwa sababu watu wake wameendekeza starehe kuliko kujituma kufanya kazi
 
hiyo title imekaa vibaya sana

hahaaa kutamu balaa ukifungua unakutana na darisalama

kakae maeneo ya jangwani ndo uje useme dar ni kutam balaa
kakutane na foleni ya masaa mawil na nusu pale ubungo mataa ukiwa
umetoka kariakoo unaelekea mbezi mida ya jion, hapo umesimama katika daladala
ndo uje useme Dar ni patam balaa
 
Halafu iwe ni wakati wa mvua...

hahaaa kutamu balaa ukifungua unakutana na darisalama

kakae maeneo ya jangwani ndo uje useme dar ni kutam balaa
kakutane na foleni ya masaa mawil na nusu pale ubungo mataa ukiwa
umetoka kariakoo unaelekea mbezi mida ya jion, hapo umesimama katika daladala
ndo uje useme Dar ni patam balaa
 
Back
Top Bottom