Kutakuwa na second selection?

Kutakuwa na second selection?

daudi_8

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2015
Posts
218
Reaction score
30
habari,wakuu mwaka huu kuna awamu ya pili selection?
 
nimeskia kua zitakuepo ila baada ya siku kumi na nne baada ya hawa first selection kuripoti skul
 
wakuu mwenje uzoefu wa kufanya uwamisho wa shule namwitaji gharama ntatoa,,ni uamisho kutoka shule ya mabwe to kibaha au njombe high school,comb ni PCM,,,
 
wakuu mwenye uzoefu wa kufanya uwamisho wa shule namwitaji gharama ntatoa,,ni uamisho kutoka shule ya mabwe to kibaha au njombe high school,comb ni PCM,,,j
 
selectioni za mala ya pili zipo ila ni kwambie tu ukweli ni mbaka mwezi wa nane.

Kiswahili cha wasomi wa jukwaa la elimu kinanifurahisha sana. Bora hata wajasiliamali kwenye jukwaa lao la wafuga kuku, mbuzi, nguruwe na kulima nyanya na vitunguu..
 
Kiswahili cha wasomi wa jukwaa la elimu kinanifurahisha sana. Bora hata wajasiliamali kwenye jukwaa lao la wafuga kuku, mbuzi, nguruwe na kulima nyanya na vitunguu..

mistake mkuu!
 
duh mpk mwez wa 8 tar ngp?Na wanachukuliwa wenye ngp?Maana wenye credit nzur wamepelekwa udom
 
Naomba kuuliza kwa anayefaham kuna second selection ya kujiunga na kidato cha Tano mwaka huu, na kama ipo inatoka lining?
 
sidhani kama itakuwepo maana waliokosa form 5 tayari wameshachaguliwa udom
 
Back
Top Bottom