Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,879
- 2,369
Wana jamvi, kuna hii kauli ambayo sasa imezoeleka na wanasiasa hasa wa chama tawala kuwasema wenzao hasa wa CDM kwamba wanatafuta umaarufu.
Nabaki najiuliza kwa mfano, hivi kati ya Januari makamba na Zitto kabwe, nani anatafuta umaarufu? hivi Tanzania ya leo nani asiyemjua Zitto, Slaa, Mbowe nk? Hivi Nape, January nani alikuwa anawajua kabla ya just last year?
Badala ya kujisema wao wanatafuta umaarufu, wanawasema watu ambao tayari walishakuwa maarufu hata kabla 2005.
Nawakilisha.
Nabaki najiuliza kwa mfano, hivi kati ya Januari makamba na Zitto kabwe, nani anatafuta umaarufu? hivi Tanzania ya leo nani asiyemjua Zitto, Slaa, Mbowe nk? Hivi Nape, January nani alikuwa anawajua kabla ya just last year?
Badala ya kujisema wao wanatafuta umaarufu, wanawasema watu ambao tayari walishakuwa maarufu hata kabla 2005.
Nawakilisha.