Wana JF, nimeulizwa swali na rafiki yangu mmoja kuwa yeye huwa akiwa usingizini anasugua meno bila yeye kujitambua. Amekuwa akielezwa na ndugu zake, wakubwa zake na wadogo zake tangu zamani lakini hakuzingatia. sasa ameoa na mkewe amekuwa akimuuliza kulikonio kusugua meno namna hiyo.
Binafsi sikuwahi kusikia kwa mtu kuhusu kitu kama hicho na sikuwa na jibu la kumpa badala yake nilimwomba aende hospital kwa wataalam.
Sasa nimeona niulize hapa JF kwani inawezekana ni kitu kinachowakuta wengi ili tusaidiane.
Binafsi sikuwahi kusikia kwa mtu kuhusu kitu kama hicho na sikuwa na jibu la kumpa badala yake nilimwomba aende hospital kwa wataalam.
Sasa nimeona niulize hapa JF kwani inawezekana ni kitu kinachowakuta wengi ili tusaidiane.