and 998 others
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 28,215
- 39,693
PhD za mchongo. Watu wanapeana kikabila
Muda mwingine watu tunakosa namna inabidi mtu asome bongo ila wakafunzi wanavyokaza sio poa wengine wanaongozwa na mihemko na chuki usipata unachistahili kwa muda husika.Masters phD sio za kusomea bongo
Biteko kasomea SAUT sio UDOM.kati Udom imeamua kuwazawadia PhD za bure kama maandazi akina Biteko,
Hata maandishi yao hayapo.
Upumbavu mtupu
Uko sahihi, Walimu wanaosumbua ni wale wa shule za misingi na Vyuo vikuu.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] nadhani nchini walimu wenye roho mbaya ni WA vyuo vikuu wanafurahia watu wazima wakihangaika mbona walimu wa secondary walikuwa wanafurahia tukifaulu.
Ndugu yangu mwenyewe alipewa supp Huku kapata A, kajichosha mwalimu kumsumbua aka sapua Dr ana mwambia mbona huna supp nisamehe sana [emoji28][emoji28].
PhD ni Udom ila degree nyingine ndio kasoma SAUTBiteko kasomea SAUT sio UDOM.