Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,745
- 19,930
Habari zenu wataalamu wa Jf.
Nimeombwa ushauri jamaa yangu.KUWA JAMAA YEYE KAMALIZA BARCHELOR YAKE YA bcom-finance mwaka huu na anataka kuendelea na kusoma mastaz so kanifuata tushauliane Asome mastaz ya coz ipi?UKILINGANISHA NA COZ YAKE AMBAYO ipo marketable.MZAMINI yupo na ataripia tuition feez yote na ndo anasubilia jibu.
Nisaidien nikamshauri friend wangu.
Nimeombwa ushauri jamaa yangu.KUWA JAMAA YEYE KAMALIZA BARCHELOR YAKE YA bcom-finance mwaka huu na anataka kuendelea na kusoma mastaz so kanifuata tushauliane Asome mastaz ya coz ipi?UKILINGANISHA NA COZ YAKE AMBAYO ipo marketable.MZAMINI yupo na ataripia tuition feez yote na ndo anasubilia jibu.
Nisaidien nikamshauri friend wangu.