Kusoma au Kujenga kipi nitangulize?

Kusoma au Kujenga kipi nitangulize?

Wengi wananishauri kuwa nikisoma master of education in curriculum design and development naweza pata kazi nzuri hasa nacte,tie vyuoni nk
Nina rafiki yangu alienda kusoma ili atoke kwenye ualimu lakini mpaka sasa ni takribani miaka 5 yupo ni mwalimu wa kawaida, amejaribu kuandika barua kila sehemu lakini holaa, wenzake wenye degree moja wanapewa ukuu wa shule lakini yeye hamna kitu, ushauri wangu Soma kuongeza elimu na sio kwamba sijui uwe nani au ukafanye kazi sehemu nyingine.
Kuhusu kujenga ni jambo zuri ila jenga nyumbani kwenu nyumba ya kawaida ya kufikia na familia yako.

Jambo la muhimu fungua biashara, acha na mambo mengi wekeza kwenye biashara yeyote ile.
 
Nina rafiki yangu alienda kusoma ili atoke kwenye ualimu lakini mpaka sasa ni takribani miaka 5 yupo ni mwalimu wa kawaida, amejaribu kuandika barua kila sehemu lakini holaa, wenzake wenye degree moja wanapewa ukuu wa shule lakini yeye hamna kitu, ushauri wangu Soma kuongeza elimu na sio kwamba sijui uwe nani au ukafanye kazi sehemu nyingine.
Kuhusu kujenga ni jambo zuri ila jenga nyumbani kwenu nyumba ya kawaida ya kufikia na familia yako.

Jambo la muhimu fungua biashara, acha na mambo mengi wekeza kwenye biashara yeyote ile.
Alisomea Nini mkuu na alienda kusoma level gani?
 
Wewe ni fala sana tena ukiwa unaamka asubuhi jipige makofi ..mwaka wa sita huu hujajenga? Demu wangu ni medical attendant tu mwaka wa tatu huu kazini na ana nyumba kaliiiiii....jinga sana wewe..mburula mkubwa wewe..
 
Wewe ni fala sana tena ukiwa unaamka asubuhi jipige makofi ..mwaka wa sita huu hujajenga? Demu wangu ni medical attendant tu mwaka wa tatu huu kazini na ana nyumba kaliiiiii....jinga sana wewe..mburula mkubwa wewe..
Kuna mwanaume anamsapoti ambae sio wewe acha kufananisha wanaume na wanawake tena huyo wa kukeshakesha
 
Wewe ni fala sana tena ukiwa unaamka asubuhi jipige makofi ..mwaka wa sita huu hujajenga? Demu wangu ni medical attendant tu mwaka wa tatu huu kazini na ana nyumba kaliiiiii....jinga sana wewe..mburula mkubwa wewe..
Demu wako amejenga nyumba na wewe unachekelea tu? Huyo ni demu wenu sio demu wako, shituka aisee.
 
Wewe ni fala sana tena ukiwa unaamka asubuhi jipige makofi ..mwaka wa sita huu hujajenga? Demu wangu ni medical attendant tu mwaka wa tatu huu kazini na ana nyumba kaliiiiii....jinga sana wewe..mburula mkubwa wewe..
Waikizu ndo mlivyo
 
Wewe ni fala sana tena ukiwa unaamka asubuhi jipige makofi ..mwaka wa sita huu hujajenga? Demu wangu ni medical attendant tu mwaka wa tatu huu kazini na ana nyumba kaliiiiii....jinga sana wewe..mburula mkubwa wewe..
Unauhakika huyo demu wako kama hana sponsor??
 
Kuna mwanaume anamsapoti ambae sio wewe acha kufananisha wanaume na wanawake tena huyo wa kukeshakesha
Huyo atakuwa analiwa na jamaa,alafu ulivyozoba unajisifu, Wacha atafunwe we upate nyumba,
 
Wewe ni fala sana tena ukiwa unaamka asubuhi jipige makofi ..mwaka wa sita huu hujajenga? Demu wangu ni medical attendant tu mwaka wa tatu huu kazini na ana nyumba kaliiiiii....jinga sana wewe..mburula mkubwa wewe..
Medical attendant ajenge nyumba kwa mshahara upi?! Kwa mshahara wa 150k??! Utakuwa na matatizo wewe sio bure

Sent from my SAMSUNG-SM-N920A using JamiiForums mobile app
 
Nina rafiki yangu alienda kusoma ili atoke kwenye ualimu lakini mpaka sasa ni takribani miaka 5 yupo ni mwalimu wa kawaida, amejaribu kuandika barua kila sehemu lakini holaa, wenzake wenye degree moja wanapewa ukuu wa shule lakini yeye hamna kitu, ushauri wangu Soma kuongeza elimu na sio kwamba sijui uwe nani au ukafanye kazi sehemu nyingine.
Kuhusu kujenga ni jambo zuri ila jenga nyumbani kwenu nyumba ya kawaida ya kufikia na familia yako.

Jambo la muhimu fungua biashara, acha na mambo mengi wekeza kwenye biashara yeyote ile.
Huu ndio ushauri bora zaidi 👍🏿
 
Mbona sioni mlingano wa matukio?
Masters za open hazijawahi kuzidi 5m Kama sikosei una maana na bajeti ya nyumbani unataka ya 5m?

Halafu huko kujidanganya ukasome utakuja badili kazi utakuja kufa na presha bure,



Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom