nsanzu
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,389
- 4,818
Na huyo shangazi ukumbuke ni mkwewe wa huyo mdada tulosingiziwa nae!Duuh
Na huyo shangazi ukumbuke ni mkwewe wa huyo mdada tulosingiziwa nae!Duuh
Nakumbuka ilivuma umefariki kwa ajali mbaya ya gari maeneo ya ubungo na picha zikawekwa humu dah!Nikikumbuka mwaka jana niliyosingiziwa hapa JF nabaki kusikitika na mengine kucheka yaani
Hivi Nyani wewe kuwa Richard au ndjabu unazushiwa/kusingiziwa au ni kweli?Hahaha!
Well, well, well.....
Hivi kusingiziwa ndo huko huko kuzushiwa?
Duuh kabisa mtu anamzushia mwenzie kifo jamani watu wauwaji. Pole na wewe mwayaNakumbuka ilivuma umefariki kwa ajali mbaya ya gari maeneo ya ubungo na picha zikawekwa humu dah!
Pole Sana kaka Jose...
Maisha yana mengi mapito, changamoto.
Kikubwa unaomba ujasiri wa kusonga mbele usiyumbishwe na kauli za walimwengu...
Niliwahi singiziwa pia hapa jf Kwa I'd yangu Ile nyingineeee tena watu wakaja na ushahidi kabisa na kuna wadau mpaka sasa wanaamini Ile issue but all in all nilimshukuru Mungu na yule mshadadiaji naona huko aliko ameshayapata malipo ya kazi yake nzuri....
Nilivoisoma Ile issue ilikuwa hivi, jamaa aliefariki alikuwa anaitwa Jose halafu kipindi kile Joseverest alikuwa available sana hapa jamvini yaani Ile sifa yake ya kuwa wa kwanza kureply post ilimpa umaarufu, sasa ilipotokea ajali akawa haonekani jamvini na mleta habari akasema marehemu alimuwa member wa jf hapo sasa wanajf wakaunganisha ..Duuh kabisa mtu anamzushia mwenzie kifo jamani watu wauwaji. Pole na wewe mwaya
Kumbe daah na wewe ilikuwaje, teh najua kusimulia itakuwa sawa na kutuambia I'd yako ileeeNilivoisoma Ile issue ilikuwa hivi, jamaa aliefariki alikuwa anaitwa Jose halafu kipindi kile Joseverest alikuwa available sana hapa jamvini yaani Ile sifa yake ya kuwa wa kwanza kureply post ilimpa umaarufu, sasa ilipotokea ajali akawa haonekani jamvini na mleta habari akasema marehemu alimuwa member wa jf hapo sasa wanajf wakaunganisha ..
Kumbe jamaa aliadimika Kwa sababu zake Tu.
Inauma Sana but ni kupuuza Tu.
Mimi niliwapotezea naona wanapata malipo yao Tu huko waliko...
Hivi Nyani wewe kuwa Richard au ndjabu unazushiwa/kusingiziwa au ni kweli?
Ila na wewe kweli Nyani Mzee maana umepataga makashfa mengi humu jf unadunda Tu..
Umekwepa mishale ya kutosha aisee!
Na Ile avator yako huna masikio teh teh!!!
Ulimhola ngaluuu?
Ng'hwanike onene!Nalemhola nyanda!
Hatari sana dada Ile story ilitengenezwa vizuri sana, ni ndefu sana yaani!Kumbe daah na wewe ilikuwaje, teh najua kusimulia itakuwa sawa na kutuambia I'd yako ileee
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Nakumbuka ilivuma umefariki kwa ajali mbaya ya gari maeneo ya ubungo na picha zikawekwa humu dah!
Pole Sana kaka Jose...
Maisha yana mengi mapito, changamoto.
Kikubwa unaomba ujasiri wa kusonga mbele usiyumbishwe na kauli za walimwengu...
Niliwahi singiziwa pia hapa jf Kwa I'd yangu Ile nyingineeee tena watu wakaja na ushahidi kabisa na kuna wadau mpaka sasa wanaamini Ile issue but all in all nilimshukuru Mungu na yule mshadadiaji naona huko aliko ameshayapata malipo ya kazi yake nzuri....
hahaha nakumbuka jinsi ulivyosingiziwa kuwa wewe ni Mod hata mimi kuna watu wamenisingizia mwaka huu eti na mimi ni Mod kisa eti Melo ali like comment yangu.Nikikumbuka mwaka jana niliyosingiziwa hapa JF nabaki kusikitika na mengine kucheka yaani
Binadamu wana mengi ya kusema aiseehahaha nakumbuka jinsi ulivyosingiziwa kuwa wewe ni Mod hata mimi kuna watu wamenisingizia mwaka huu eti na mimi ni Mod kisa eti Melo ali like comment yangu.
i seeNisimuliepo hata piemu basii
hahaha nakumbuka jinsi ulivyosingiziwa kuwa wewe ni Mod hata mimi kuna watu wamenisingizia mwaka huu eti na mimi ni Mod kisa eti Melo ali like comment yangu.
JUST IMAGINE WATU WANAKUZUSHIA HIZI HABARI:Ulisingiziwa nini baby
JUST IMAGINE WATU WANAKUZUSHIA HIZI HABARI:
Miongoni mwa taarifa hizo nilizoziona na ambazo nimezushiwa ni;
1. Nimebadili ID na avatar
2. Nimetekwa na watu wa usalama na kufichwa kusipojulikana
3. Nilienda Zimbabwe wengine wakasema Kenya kwenye uchaguzi
4. Nimemaliza kazi niliyotumwa na 'watu wa system'
5. Nipo chuo Tandabui
6. Mke wangu kanizuia kuingia JF
7. Simu yangu imeharibika au kudondokea kwenye maji
8. Nimetongoza mwanamke wa mojawapo ya mods ndio maana nimezuiwa kupost
9. Nipo Kibiti napimwa mkojo kwa ajili ya uchochezi au nipo magereza
10. Nipo nchini China/Canada kikazi/kimasomo ambapo baadhi ya mitandao ya kijamii imefungiwa (kupigwa BAN)
11. Wengine walidiriki kwenda mbali na kusema Nimefariki katika ajali ya pikipiki (iliyotokea ubungo riverside ikimuhusisha ndugu yetu Johanes [RIP])