ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,604
- 89,931
Uzuri dunia hii lazima second hand ziwepo, kwa vile wapo wanaotumia vitu kwa mda mfupi na wakihitaji vipya basi huuza vya zamani na kununua latest.
Kwa mfano hizi babywalkers;
Toyota Passo toleo la 2017 mpya ni $14,000 kwa 2WD na $16,000 kwa 4WD.
Toyota Vitz model ya 2017 inaanzia $15,000 hadi $19,000
IST ambayo ni uniform kwenye mji kama Dar, toleo la 2017 ni $24,000.
Gari kama Rav4 ni gari inayotumiwa sana na watanzania, model ya 2017 bila $26,000 hadi $29,000 bado hujaikamata.
Zote hizo ni FOB, bado hujalisafirisha na kupigwa ushuru wa hapo bandarini, kweli wengi waliopo barabarani leo wangekuwa watazamaji tu. Leo hii gari unauzwa FOB $350 au/hata chini ya $100, damn asante mtumba.
Hakika bila mitumba tungepata shida sana, hata hizo nguo inabidi waendelee kuwaruhusu watanzania wanunue mitumba tu, bado sisi ni taifa lenye masikini wengi.
Kwa mfano hizi babywalkers;
Toyota Passo toleo la 2017 mpya ni $14,000 kwa 2WD na $16,000 kwa 4WD.
Toyota Vitz model ya 2017 inaanzia $15,000 hadi $19,000
IST ambayo ni uniform kwenye mji kama Dar, toleo la 2017 ni $24,000.
Gari kama Rav4 ni gari inayotumiwa sana na watanzania, model ya 2017 bila $26,000 hadi $29,000 bado hujaikamata.
Zote hizo ni FOB, bado hujalisafirisha na kupigwa ushuru wa hapo bandarini, kweli wengi waliopo barabarani leo wangekuwa watazamaji tu. Leo hii gari unauzwa FOB $350 au/hata chini ya $100, damn asante mtumba.
Hakika bila mitumba tungepata shida sana, hata hizo nguo inabidi waendelee kuwaruhusu watanzania wanunue mitumba tu, bado sisi ni taifa lenye masikini wengi.