Kushusha bei ya mafuta kutaibua kero mpya za bei na huduma muhimu za jamii kupanda

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,275
21,441
Jana Raisi wetu aliahidi kuanzia tarehe mosi June 2022 watanzania watapata unafuu wa bei za mafuta, kwa kiasi gani hilo liko mikononi mwa waziri mwenye dhamana.

"Nimeamua wananchi waanze kupata nafuu ya bei ya mafuta kuanzia Juni 1, 2022, nimeelekeza serikali tujibane na tujinyime ili kupata fedha kutoka katika matumizi ya kawaida ya serikali ili ziende kutoa nafuu katika bei za mafuta,"-@SuluhuSamia

Raisi ange jikuta kupunguza bei ya vitu ambavyo ana uwezo navyo kwa kutumia economic policies and remedies, sio political solutions suala la kupanda kwa mafuta liko globally na la kiuchumi zaidi, kama EU US wazee wa kuandamana wametulia kwanza kusikilizie mwelekeo wa upepo kwanza, nasi Ldc tunabudi kutulia kwanza kukurupuka kwa kupata political fame sio solution.

Kulazimisha kupunguza bei za mafuta inaenda kuibua kero zingine za kiuchumi mpya hata kuliko ya mafuta, mwenyewe kakiri kipindi kile alivyo ondoa tozo moja serikali yake ili poteza zaidi ya Tsh 102bn imagine kama hizo hela zilikua zimepangwa sector ya afya wangapi waliteseka kwa ajili ya hilo.

"Economic problems requires economic solutions" not political na economic solutions buys time are not immediate, Raisi asubiri tuone the end of economic forces zutulie kwanza hapo economic policies zitafanya kazi wana uchumu wanasema political intervention just worsen economic problems.

Raisi apunguze bidhaa za ujezi kama cement nondo mafuta ya kula baati nk, subsidies kwenye private hosipital na shule na pia wa tumushi wa ummah awapadishe mishahara kwa 10 -15% na zisitozwe paye kwa kipindi hiki cha mfumko wa bei hivyo ana uwezo navyo viko domestically produced en regulated, hapo automatically atakua amepunguza ukali wa maisha 'disposable income' ya individual intakua imepanda, unafuu wa maisha utapatikana kwa raia, kuliko kuondoa sh 200 kwenye bei ya mafuta kwa kuondoa tozo moja tena uibue kero zingine lukuki, hiyo shilling 200-400 utakao punguza impact yake ni ndogo kuliko madhara itakao leta.

"I don't know the key to success, but the key to failure is trying to please every one.

“Sometimes it is better to lose and do the right thing than to win and do the wrong thing.”
 
Tulia ulitaka upige faida wewe tu kwenye kituo chako cha mafuta "sheli"?
Mkuu mimi sina kituo cha mafuta pia bei ikupunguzwa sio kwamba wenye vituo vya mafuta faida yao inapungua hapana inabaki vile vile serikali ndo inapubguza tozo zake ambazo ilikua imeweka......naomba tujadili kiuchumi tu
 
Mafuta inabidi yashuke bei mpaka 2300. Ujui haya mafuta yamepandisha mpaka vifurushi vya mtandao ya simu. Au wewe ujaona hilo. Hata umeme umepanda kwa asilimia kadhaa.
Mkuu kodi ya serikali kwenye kila lita ya mafuta ni 1200- 1600 maximum atakae wezo kupunguza ni 200-400 kwahiyo impact ni ndogo sana wakati angepunguza bei ya cement au pembejeo impact inaonekana
 
Mkuu kodi ya serikali kwenye kila lita ya mafuta ni 1200- 1600 maximum atakae wezo kupunguza ni 200-400 kwahiyo impact ni ndogo sana wakati angepunguza bei ya cement au pembejeo impact inaonekana
Kwani kwenye cement Kodi Ni sh ngapi? Hata kwenye cement watapunguza kiasi kidogo kisichozidi 1000
 
Sasa hizo billion 100 ni nyingi kama halmashauri ya musoma mara wamekula billion 142 kwenye ununuzi wa cement unatuaminisha vipi hizo 100 zingetumika vizuri
 
Mkuu mimi sina kituo cha mafuta pia bei ikupunguzwa sio kwamba wenye vituo vya mafuta faida yao inapungua hapana inabaki vile vile serikali ndo inapubguza tozo zake ambazo ilikua imeweka......naomba tujadili kiuchumi tu
Kiuchumi tangu ziwekwe tozo kwenye miamala ya simu tumebadilika nini?
 
Katika bajeti ya mwaka huu wa fedha 2021/22 kama nilifuatilia vizuri. Kodi zinazo kusanywa kwenye mafuta ni Fuel levy Tzs. 413 kwa lita, Petroleum Levy Tzs 363 kwa lita. Jumla Tzs.776/= , sijaweka EWURA.
 
Jana Raisi wetu aliahidi kuanzia tarehe mosi June 2022 watanzania watapata unafuu wa bei za mafuta, kwa kiasi gani hilo liko mikononi mwa waziri mwenye dhamana.

"Nimeamua wananchi waanze kupata nafuu ya bei ya mafuta kuanzia Juni 1, 2022, nimeelekeza serikali tujibane na tujinyime ili kupata fedha kutoka katika matumizi ya kawaida ya serikali ili ziende kutoa nafuu katika bei za mafuta,"-@SuluhuSamia

Raisi ange jikuta kupunguza bei ya vitu ambavyo ana uwezo navyo kwa kutumia economic policies and remedies, sio political solutions suala la kupanda kwa mafuta liko globally na la kiuchumi zaidi, kama EU US wazee wa kuandamana wametulia kwanza kusikilizie mwelekeo wa upepo kwanza, nasi Ldc tunabudi kutulia kwanza kukurupuka kwa kupata political fame sio solution.

Kulazimisha kupunguza bei za mafuta inaenda kuibua kero zingine za kiuchumi mpya hata kuliko ya mafuta, mwenyewe kakiri kipindi kile alivyo ondoa tozo moja serikali yake ili poteza zaidi ya Tsh 102bn imagine kama hizo hela zilikua zimepangwa sector ya afya wangapi waliteseka kwa ajili ya hilo.

"Economic problems requires economic solutions" not political na economic solutions buys time are not immediate, Raisi asubiri tuone the end of economic forces zutulie kwanza hapo economic policies zitafanya kazi wana uchumu wanasema political intervention just worsen economic problems.

Raisi apunguze bidhaa za ujezi kama cement nondo mafuta ya kula baati nk, subsidies kwenye private hosipital na shule na pia wa tumushi wa ummah awapadishe mishahara kwa 10 -15% na zisitozwe paye kwa kipindi hiki cha mfumko wa bei hivyo ana uwezo navyo viko domestically produced en regulated, hapo automatically atakua amepunguza ukali wa maisha 'disposable income' ya individual intakua imepanda, unafuu wa maisha utapatikana kwa raia, kuliko kuondoa sh 200 kwenye bei ya mafuta kwa kuondoa tozo moja tena uibue kero zingine lukuki, hiyo shilling 200-400 utakao punguza impact yake ni ndogo kuliko madhara itakao leta.

"I don't know the key to success, but the key to failure is trying to please every one.

“Sometimes it is better to lose and do the right thing than to win and do the wrong thing.”
Wewe una akili ni muelewa na ndio maana hata serikali inakwenda mwendo wa tahadhari kubwa..

Ila kuna kundi kubwa la mburula hawawezi kukuelewa
 
Mkuu kodi ya serikali kwenye kila lita ya mafuta ni 1200- 1600 maximum atakae wezo kupunguza ni 200-400 kwahiyo impact ni ndogo sana wakati angepunguza bei ya cement au pembejeo impact inaonekana
Mafuta yanamgusa kila mtu.

Hiyo cement inaweza isiguse hata 10% ya populations nzima ya nchi hii.
 
Mkuu kodi ya serikali kwenye kila lita ya mafuta ni 1200- 1600 maximum atakae wezo kupunguza ni 200-400 kwahiyo impact ni ndogo sana wakati angepunguza bei ya cement au pembejeo impact inaonekana
Hiyo 200 - 400 unajua multiplier effect yake
 
Mkuu mimi sina kituo cha mafuta pia bei ikupunguzwa sio kwamba wenye vituo vya mafuta faida yao inapungua hapana inabaki vile vile serikali ndo inapubguza tozo zake ambazo ilikua imeweka......naomba tujadili kiuchumi tu
We nani
 
Back
Top Bottom