Leney kwani waenda wapi? Usicheze mbali,unga robo! Jf is not a place to come and go,it is a place to come n Stay. Stay Leney! Si mpaka ukija jamvin utoe mchango,unaweza sign in kwa dk.7 ukasoma threads zote alaf ukaenda kwa mengne,wengi twafanya ivo ila tukipata mda ndo tunakaa! Si ujiulize posts perday hazizidi 150,lakini viewers utakuta 1000,2500,3000+per day? Plz usiende mbali nasi,kwa sababu bado twakupenda!
So hard to miss one of the members please if you can unaweza ukapunguza..., cut out some days au make it one hour a day.., kweli addiction is bad lakini unaweza kutumia JF kama ndio information medium yako, just checking some breaking news before you go to be bed.. I hope you will rethink this Leney.... If its not possible then hope to see you soon
Enyi watu wote pigeni makofi.....enyi watu wote pigeni makooofi.......
Mpigieni Bwana Mungu wetu, mshangilieni kwa vigelegele:
Kwako mjukuu wangu Leney:
Ahsante nakupatia,
Weme ulonifanyia,
Umeshindwa nigomea,
Ombi umelisikia.
Ninakuweka moyoni,
Sisahau asilani,
Hivi unajuani,
Jisikiavyo nafsini?
Kukulinda naahidi,
waweza weka shahidi,
Muda wako sina budi,
Kuutunza inabidi.
Au kwa kibongofleva:
Sasa huyo ndo leney sasa,
Vile amemsikia babu sasa,
Merudi jamvini kwa wema sasa,
nakuwa mtiifu kwa babu sasa....
Sasa vile amemtii babu sasa,
sasa vile amerudi jamvini sasa,
Sasa vile babu tamlinda sasa,
Sasa ulinzi keshapata sasa,
Babuye tatoa adiksheni vileeeee
kama haitoshi:
kamata na hii kama bakshishi na kumbukumbu yako na ya vizazi vijavyo.
The Following User Says Thank You to Leney For This Useful Post:
Asprin (Today)
Usisahau. SENKSI moja ya babu ni sawa na mia za wajukuu.
Hii lazima niandike kama kumbukumbu.... Babu kanitungia shairi... sijui nikafungue thread nikali-paste hili shairi...LOL
babu basi mi naona nikae hadi mwezi mei...
Hili shairi limeningiia kichwani,
Lakini sasa inabidi mbavu zangu nizifungulie na kuzilipia bima...
Mjukuu Leney kashawishiwa na Babu...Mjukuu Leney kaanza kubadili mawazo...
Enyi watu wote pigeni makofi.....enyi watu wote pigeni makooofi.......
Mpigieni Bwana Mungu wetu, mshangilieni kwa vigelegele:
Kwako mjukuu wangu Leney:
Ahsante nakupatia,
Weme ulonifanyia,
Umeshindwa nigomea,
Ombi umelisikia.
Ninakuweka moyoni,
Sisahau asilani,
Hivi unajuani,
Jisikiavyo nafsini?
Kukulinda naahidi,
waweza weka shahidi,
Muda wako sina budi,
Kuutunza inabidi.
Au kwa kibongofleva:
Sasa huyo ndo leney sasa,
Vile amemsikia babu sasa,
Merudi jamvini kwa wema sasa,
nakuwa mtiifu kwa babu sasa....
Sasa vile amemtii babu sasa,
sasa vile amerudi jamvini sasa,
Sasa vile babu tamlinda sasa,
Sasa ulinzi keshapata sasa,
Babuye tatoa adiksheni vileeeee
kama haitoshi:
kamata na hii kama bakshishi na kumbukumbu yako na ya vizazi vijavyo.
The Following User Says Thank You to Leney For This Useful Post:
Asprin (Today)
Usisahau. SENKSI moja ya babu ni sawa na mia za wajukuu.
Yaani huwezi amini since 2007 nilivojiunga nilikua naingia tu jukwaa la siasa nacheck news naondoka...Yani aliyenishawishi nianze kufungua na majukwaa mengine ndo mbaya wangu...LOL
Babu hapa ananishawishi we huoni ma-shairi alonitungia mjukuu wake???
I just hope to cut it out for sometime...maana nimewazoea sana sasa mpaka nawaota...utafikiri tunaishi nyumba moja...
mda ukipita bila kuona posts zenu nzuri..nitawasahau kidogo then I will come back....
Thanks for making this place wonderful for me.....
Ntamiss posts zako, maana zinakwalifai ku-stanf alone as a forum...very composed...naomba bisiendelee nisije kujikuta nabaki..LOL
Kila la heri Leney...lakini sijakuelewa vizuri sijui kwa sababu ya Lugha ya kiswahili na kiingereza kuingiliana? Ina maana unaenda Bungeni au??? na Je utakuwa hauingii kabisa au la? Lakini mbona umeondoka bado tunakuhitaji Leney na bado ulikuwa mgeni kabisa..... Mungu akupe kinogeo( addiction) kingine ufurahi zaidi...Lakini kama wewe ni mbunge usitusahau sisi tunaomka tusijue leo twala nini...
Babu ona sasa, nisingejibu tu ile post yako ndo dawa...maana hapa am bizzy smiling...WE NDO UMESABABISHA...aaagggrrr!!!
Hapo kwenye red...ntakua nakimbia mvua nakimbilia baharini...yaani nakimbia addiction, halafu naondoka na addiction source..LOL
Leney has refused...Leney is being a strong girl... so Leney must go ALONE!!
hahaha...eti senks moja ya babu ni kama mia za wajukuu.... sasa mbona sikioni kitufe cha senksi babu??
hiyo bongo fleva ni noma...
Huyo ndo babu bwana...kachanganya bongo fleva na mapambio...LOL
hilo kanisa usifungue wanakwaya wasije kuwa wanaimba bongo fleva....
Mi babu naona niondoke...ila niondoke na wewe uwe unanitungia mashairi...
Leney uliandika hivi, Msisitizo kwenye bold.
Babu nikafurahi kama hivi:
Mara tena ukageuka hivi, msisitizo kwenye bold
Babu anashindwa kukuelewa sasa.
UNAFANYA GANI LENEY?
Na hapa Leney ukasema hivi, msisitizo kwenye bold.
Na hapa tena ukageuka kauli yako kama hapo kwenye bold.
Babu anauliza tena:
UNAFANYA GANI LENEY?
hahaha... Babu si nimeona niondoke ila tuondoke wote???
Kwani Babu mwanzo si ulisema unaweza acha ugoro tukaondoka wote, au?
Hahahaha....babu liko adiktedi kiasi kwamba linalala na laputopu yake kitandani. Likipata naitimea, linaibukia JF jukwaa la MMU!
Niko vere vere adikted, anayeweza kunitoa hapa ni ziraili mtoa roho au TANESCO wakiondoka na nishati yao. Nimeagiza jenereta kwa ajili ya JF.
Tutakumiss sana
Baaabuuu...usinichekeshe bwana.... mi nna huzuni ati....
Nilikuwa nashangaa mi mbona sijawahi kuwa addicted before... kumbe Babu yuko addicted so anatutungia posts nzuri zinatufanya nasisi tunakuwa addicted....sio vizuri hivo babu...
Makubwa...MMU ina cure/ au inatuliza naitimeaz za babu....babu siku nyingine ukipata naitimea hebu jaribu kukimbilia jukwaa la JF Doctor... linakusaidia sana...Hahahaha..uanze tu...from no where...hahahah
tatizo kompyuta yangu nimeiseti inafungua MMU tu....
Nkigonga jukwaa la Siasa, inazimika
La Doctors, inapiga shoti
La Sheria screen inakuwa nyeusi,
La Maria Roza, inaibuka Picha ya Yesu.
La MMU.....tabasamu na vidole vinakimbilia kwenye keyboard hata kama nimepigwa POP.
Turudi kwenye mada:
Hashukuriwi mtu hapa.....Haagwi mtu hapa kwakuwa Leney ni adikted kwenye MMU....Kama unabisha tupinge au sema SUUU!
yote tisa, kumi ni kupiga shoti... basi babu usiende tena kwenye JF Doctors...tutapata hasara ya laptop...na tumeagiza generator....
Babu sasa hapo kwenye red unanionea...yani nikama kuniuliza one plus plus.... mi babu sisemi SUUU (LOL) wala sipingi...maana nimeshazama kwenye hilo jukwaa (na yote umesababisha wewe)....ila taratibu tu ntaacha... na leo ndo siku ya kwanza kuacha...
Leney is leaving all the addictions for Babu....Leney is going to seek help...
But Babu is even buying a generator....to get more addicted....
Hahaha...ngoja nikatafute dikshenare ya english-swahili. Si wengine tumeishia fomu foo B shule za sekendari za kata. Hicho kingledha hakikuwa kwenye silabasi zetu. Tuliishia kwenye gudimoning ticha...... sit daun.... we are sitting daun senkyuu ticha.
With Serious note: Usiondoke bana!
Hahaha...ngoja nikatafute dikshenare ya english-swahili. Si wengine tumeishia fomu foo B shule za sekendari za kata. Hicho kingledha hakikuwa kwenye silabasi zetu. Tuliishia kwenye gudimoning ticha...... sit daun.... we are sitting daun senkyuu ticha.
With Serious note: Usiondoke bana!
Usinitanie...wakati we babu yangu ndo peke yako unaerusha kimombo pale mtaani kwetu...basi watu full kuniangalia..kisa? Babu yangu anjua kidhungu...LOL
Sasa Babu nishauri nifanye nini??? sijui niset na mimi laptop yangu nikiingia tu MMU ipige shoti??:thinking::thinking:
Leney anapata psychosocial support hapa kwa Biggie.
Leney anapata psychosocial support hapa kwa Biggie.