Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

Eng Kimox Kimokole

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2010
Posts
1,041
Reaction score
772
Habari wanaJF?
Nimekuwa nikipokea meseji (sms) nyingi sana za Vikampuni vya mikopo mara kwa mara. Yaani kwa siku unaweza kutuniwa msg tatu mpaka tano.

Nimewasiliana na hizi Microfinance kwa namba zao zinazotumika kutuma sms wengine wanajibu tutakuondoa wengine wananyamaza kimya.

Je! Kuna namna yoyote ya kuwashtaki hizi kampuni za mikopo kwa usumbufu wa sms zao za mara kwa mara na kuwadai fidia?

Nimechoka na hizi sms zao yaani
 

Attachments

  • Screenshot_20250606-124041.jpg
    Screenshot_20250606-124041.jpg
    244.2 KB · Views: 27
  • Screenshot_20250606-123957.jpg
    Screenshot_20250606-123957.jpg
    235.9 KB · Views: 28
  • Screenshot_20250606-123919.jpg
    Screenshot_20250606-123919.jpg
    161.7 KB · Views: 26
Habari wanaJF?
Nimekuwa nikipokea meseji (sms) nyingi sana za Vikampuni vya mikopo mara kwa mara. Yaani kwa siku unaweza kutuniwa msg tatu mpaka tano.

Nimewasiliana na hizi Microfinance kwa namba zao zinazotumika kutuma sms wengine wanajibu tutakuondoa wengine wananyamaza kimya.

Je! Kuna namna yoyote ya kuwashtaki hizi kampuni za mikopo kwa usumbufu wa sms zao za mara kwa mara na kuwadai fidia?

Nimechoka na hizi sms zao yaani
Hela hiyo washtaki fasta!
 
Habari wanaJF?
Nimekuwa nikipokea meseji (sms) nyingi sana za Vikampuni vya mikopo mara kwa mara. Yaani kwa siku unaweza kutuniwa msg tatu mpaka tano.

Nimewasiliana na hizi Microfinance kwa namba zao zinazotumika kutuma sms wengine wanajibu tutakuondoa wengine wananyamaza kimya.

Je! Kuna namna yoyote ya kuwashtaki hizi kampuni za mikopo kwa usumbufu wa sms zao za mara kwa mara na kuwadai fidia?

Nimechoka na hizi sms zao yaani
Unawashtaki kwa vifungu gani vya sheria?
 
Wamepataje namba yako?
Bila shaka ushawah kukopa au kujaribu kukopa kwao.
Hivyo namba yako iko kwa database yao.

Wanajaribu kukushtua labda unahitaj mkopo mwingne.
 
Habari wanaJF?
Nimekuwa nikipokea meseji (sms) nyingi sana za Vikampuni vya mikopo mara kwa mara. Yaani kwa siku unaweza kutuniwa msg tatu mpaka tano.

Nimewasiliana na hizi Microfinance kwa namba zao zinazotumika kutuma sms wengine wanajibu tutakuondoa wengine wananyamaza kimya.

Je! Kuna namna yoyote ya kuwashtaki hizi kampuni za mikopo kwa usumbufu wa sms zao za mara kwa mara na kuwadai fidia?

Nimechoka na hizi sms zao yaani
Hata mimi huwa nawaza,hawawezi tumia line niliyonunua,simu niliyonunua nikiichaji kwa umeme ninaonunua na kufanyia matangazo ya ofisi zao bila makubaliano na mimi huku wakipata faida,mkuu tafuta wakili mzuri hapo utapiga hela utakuja nikumbuka
 
Wanao download app za mikopo wanakuwa namba zenu kwa hiyo zile app zinapeleka data za numba zenu na kuwatumia SMs.

Hizi app zimekuwa zikifatilia taarifa za watu ila akiulizwa jerry manati pale TCRA anakwambia mtandao X ni wa ngono ila mpaka raisi ana account na serikali.
 
Wa block tu. Njia ya kisheria inaweza kuwa refu na gharama. Kisheria nadhani wanatakiwa kukuondoa ikiwa hutaki kupokea matangazo yao na hii iwe kwa njia rahisi na fupi kama kubonyeza unscribe kwenye mitabdai.
 
Wamepataje namba yako?
Bila shaka ushawah kukopa au kujaribu kukopa kwao.
Hivyo namba yako iko kwa database yao.

Wanajaribu kukushtua labda unahitaj mkopo mwingne.
Nadhani namba wamechukua Utumishi kwa sababu sijawahi kuwa na uhusiano wowote na mikopo
 
Wa block tu. Njia ya kisheria inaweza kuwa refu na gharama. Kisheria nadhani wanatakiwa kukuondoa ikiwa hutaki kupokea matangazo yao na hii iwe kwa njia rahisi na fupi kama kubonyeza unscribe kwenye mitabdai.
Hata nikiblock wakituma sms zinakuja
 
Back
Top Bottom