kampuni za mikopo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kampuni za ukopeshaji zinazokiuka sheria na kanuni kwanini hazichukuliwi hatua?

    Napenda kuwasilisha kero yangu kuhusu kampuni za mikopo ya mtandaoni. Serikali ilitangaza hatua za kudhibiti na kuchukua hatua dhidi ya kampuni zilizokuwa zikikiuka sheria na haki za wakopaji. Hata hivyo, hadi sasa kampuni nyingi zinaendelea kutoa mikopo na, pindi mkopaji anapochelewa kufanya...
  2. Eng Kimox Kimokole

    JamiiForums Tanzania Kushtaki Kampuni za Mikopo (Microfinance)

    Habari wanaJF? Nimekuwa nikipokea meseji (sms) nyingi sana za Vikampuni vya mikopo mara kwa mara. Yaani kwa siku unaweza kutuniwa msg tatu mpaka tano. Nimewasiliana na hizi Microfinance kwa namba zao zinazotumika kutuma sms wengine wanajibu tutakuondoa wengine wananyamaza kimya. Je! Kuna namna...
  3. dorge

    JamiiForums Tanzania Kampuni za mikopo online zimerejea kwa kasi kubwa

    Hawa watu benki kuu iliwaondoa Cha ajabu wamerejea kwa Kasi sana.
  4. Poluyakhtov

    JamiiForums Tanzania Ushahidi kuhusu kampuni za mikopo mtandaoni

    Habari wana JF, Ngoja nisonge kwenye mada, kwa kipindi cha miezi ya hivi karibuni nilikumbwa na changamoto iliyohitaji fedha ya haraka. Basi katika pita pita zangu nikaangukia kwenye kampuni za mkopo mtandaoni ambazo ni PesaX pro na Zimacash. Nilikopa na kulipa kwa wakati. Baada ya hapo...
  5. N

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Mamlaka kuchelewa kuzichukulia hatua kwa wakati 'kampuni bubu za upatu', Je wanachelewa kupata taarifa au?

    Katika kipindi ambacho teknolojia inaendelea kukua kumekuwepo na ongezeko la michezo mingi ya upatu hasa kupitia mitandao (digital platforms), katika michezo hiyo kumekuwepo na ugumu wa kutambua ni kampuni zipi zenye usajili halali jambo ambalo limekuwa gumu kuwaondoa watu wengi kwenye mtego wa...
Back
Top Bottom