Preciousvision
JF-Expert Member
- May 14, 2026
- 559
- 710
Tarehe 01 May LATRA ilitangaza nauli mpya ila wamiliki wa vyombo vya usafiri walijiongezea kuanzia 50%, mfano Arusha-Babati nauli ilikuwa sh 10,000 sasa hivi sh 15,000 na hakuna cha LATRA, Waziri waziri mkuu na Rais ndiyo amejificha, je tuna uongozi.
Daladala njia ya Arusha-Kikatiti nauli ilikuwa sh 1500 sahivi sh 2000, kituo kwenda kituo badala ya sh 500 sahivi sh 1000. Morombo nauli sh 500 leo sh 1000 hiyo ni nyongeza ya asilimia 100, je hapo tuna uongozi?
Sasa hivi umeme unaweza kukatwa tu bila taarifa hakuna kiongozi anaweza kutusaidia, km jioni hii kuanzia saa 12 Arumeru-Arusha mpaka sahivi bila sababu na Meneja haogopi kwani nchi haina uongozi, tuna wakati mgumu sana miaka hii 5!
Daladala njia ya Arusha-Kikatiti nauli ilikuwa sh 1500 sahivi sh 2000, kituo kwenda kituo badala ya sh 500 sahivi sh 1000. Morombo nauli sh 500 leo sh 1000 hiyo ni nyongeza ya asilimia 100, je hapo tuna uongozi?
Sasa hivi umeme unaweza kukatwa tu bila taarifa hakuna kiongozi anaweza kutusaidia, km jioni hii kuanzia saa 12 Arumeru-Arusha mpaka sahivi bila sababu na Meneja haogopi kwani nchi haina uongozi, tuna wakati mgumu sana miaka hii 5!