Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Na hii avatar yako ni inaonesha ni jinsi gani umechukia, ametangazwa kweli?
Huyu jambazi Mahanga ametangazwa kweli kuwa ni mshindi?
Na hii avatar yako ni inaonesha ni jinsi gani umechukia, ametangazwa kweli?
Ni kweli. Lakini kama mwananchi wa Segerea nimekereka sana.
Kuna mambo mengine yanafanyika ninafika mahali ninajiuliza: Hivi kweli Mungu yupo?[/QUOTE]
Yupo na kwake hakuna zambi ndogo, akishuka kwa makongoro atatupitia na sisi pia. Ila malipo ya mwizi kama makongongoro yapo haha hapa dunia. Hasira ni za bwana
Ni kweli. Lakini kama mwananchi wa Segerea nimekereka sana.
Kuna mambo mengine yanafanyika ninafika mahali ninajiuliza: Hivi kweli Mungu yupo?
Ni kweli. Lakini kama mwananchi wa Segerea nimekereka sana.
Kuna mambo mengine yanafanyika ninafika mahali ninajiuliza: Hivi kweli Mungu yupo?
Mungu yuko kaka ila uwe na subira maangamizi makubwa kwao wafanyao dhuluma inakuja tena muda mfupi tu ujao na hili litakuwa ushuhuda kwako ili imani yako iongezeke.
Nchi hii imeoza kwa Rushwa.
Watawala wa nchi hii wanadharau sana wananchi.
Nina uhakika 100% Mahanga amepoteza kiti cha ubunge jimbo la Segerea. Lakini cha ajabu kabisa ametangazwa mshindi. Haya mambo hayatapita yakaachwa.
Hii ni dhulma.
Wanasegerea lazima tuchukue hatua mpaka matokeo yabatilishwe.
dawa ni kukata rufaa
Mahanga ni mshenzi na mwizi, wanasegerea tuchuke hatua! Amekamatwa live na kura feki, anaoutoglu nako zimekamatwa, hiyo si kesi jamani?
Mungu yuko kaka ila uwe na subira maangamizi makubwa kwao wafanyao dhuluma inakuja tena muda mfupi tu ujao na hili litakuwa ushuhuda kwako ili imani yako iongezeke.