Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nchi hii imeoza kwa Rushwa.
Watawala wa nchi hii wanadharau sana wananchi.
Nina uhakika 100% Mahanga amepoteza kiti cha ubunge jimbo la Segerea. Lakini cha ajabu kabisa ametangazwa mshindi. Haya mambo hayatapita yakaachwa.
Hii ni dhulma.
Wanasegerea lazima tuchukue hatua mpaka matokeo yabatilishwe.
Watawala wa nchi hii wanadharau sana wananchi.
Nina uhakika 100% Mahanga amepoteza kiti cha ubunge jimbo la Segerea. Lakini cha ajabu kabisa ametangazwa mshindi. Haya mambo hayatapita yakaachwa.
Hii ni dhulma.
Wanasegerea lazima tuchukue hatua mpaka matokeo yabatilishwe.