Kusajili account za bank

Hapana sio Lazima awe amesomea uhasibu ..Mtu Yoyote mwenye elimu ya kidato cha nne kwa Tanzania hio kazi anafanya alimradi yupo vizuri kusoma ,kuelewa na kuandika
 
πŸ˜‚

Kumbe kuna wahasibu wengi hvy mtaani huku

Naskia hadi kuwa wakala wa hizi mpesa tigo Pesa n lazima uwe mhasibu at least level ya degree hata bila CPA 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…