Kusainishwa bima ya Afya hospitali bila ya kujua gharama halisi

beco

JF-Expert Member
May 7, 2013
1,339
782
Hbr wana jf
Kuna tatizo la mtu ukiwa unaenda tibiwa na ukawa unatumia kadi ya bima ya Afya kusainishwa karatasi bila ya kuandikiwa gharama zinazokukabili au huduma ulizofanyiwa
Huwa najiuliza vipi wakiniandikia nitumia mililion wakati nimetumia elfu 10 ?vp nikiandikiwa nimefanya full bld picture wakati nimepima malaria tu ?
Hapa naona kuna sintofahamu na kwann ni baadhi tu ya hosp ndo wamekuwa na uzushi huu nyingine hazina?
 
Kweli hili ni tatizo. Kwa nmna ilivyo uwezekano wa kuongeza gharama ni mkubwa
 
Hbr wana jf
Kuna tatizo la mtu ukiwa unaenda tibiwa na ukawa unatumia kadi ya bima ya Afya kusainishwa karatasi bila ya kuandikiwa gharama zinazokukabili au huduma ulizofanyiwa
Huwa najiuliza vipi wakiniandikia nitumia mililion wakati nimetumia elfu 10 ?vp nikiandikiwa nimefanya full bld picture wakati nimepima malaria tu ?
Hapa naona kuna sintofahamu na kwann ni baadhi tu ya hosp ndo wamekuwa na uzushi huu nyingine hazina?
Mbona wanakupa kopi yako?
 
Kama ni kupigwa ungekuwa hupewi copy ... kwan wewe unajuaje gharama za matibabu?
 
Hata ujue garama ucjue makato yapo palepale,bei za dawa,bei za vipimo madoct hawawez kukarir kichwan kila kitu ,,wanakuja kureview baadaye ubusy wa wagonjwa ukiisha
 
Issue sio gharama, dawa zote zimepewa bei elekezi na NHIF, hosptalo au pharmacy hawawez panga bei yao ilimradi mgonjwa kasaini. So if u want to bother bas hakikisha unakagua dawa ulizoandikiwa ni kweli umepewa coz hapo ndo kuna janjajanja
 
Mimi napenda madokta wazidishe kwasaababu NHIF wanavuna sana pesa zetu
Haipo hivyo na haumkomoi dr kwasababu bima yako Ina kuwa na kiasi Kwa mfano fungu la malaria ni sh laki 3 Kwa mfano, sasa km utatumia laki 3 yote kabla ya mwaka kuisha na ikatokea umeumwa ujue lazima utoe hela yako mfukoni .
 
Dogo acha kelele

Unatumia Bima ya brown
Unakatwa elfu 18 kwa mwezi ,
Unatibiwa wewe na wategemezi wako sita kwa mwezi mzima !



Ni wastani wa sh, elfu 3 kwa kila mmoja,.


Hela gani unakatwa nyingi dogo ????




Tena unaweza kuta wewe ni dependant
 
Dogo acha kelele

Unatumia Bima ya brown
Unakatwa elfu 18 kwa mwezi ,
Unatibiwa wewe na wategemezi wako sita kwa mwezi mzima !



Ni wastani wa sh, elfu 3 kwa kila mmoja,.


Hela gani unakatwa nyingi dogo ????




Tena unaweza kuta wewe ni dependant
Unajina zuri ,lakini kauli zako hazifanani na stage name ulonayo ,niwe dependant au vinginevyo ndo sina haki ya maslahi yangu?
 
Haipo hivyo na haumkomoi dr kwasababu bima yako Ina kuwa na kiasi Kwa mfano fungu la malaria ni sh laki 3 Kwa mfano, sasa km utatumia laki 3 yote kabla ya mwaka kuisha na ikatokea umeumwa ujue lazima utoe hela yako mfukoni .
Nadhani haujui utaratibu wa Bima ya Afya ulivyo. Haijalishi utaugua na kutibiwa kila siku hospitalini kwa mwaka mzima au mwaka mzima usiugue wala kutibiwa kwa chochote, mwisho wa siku mfuko wa bima ya Afya ya taifa UTAKUKATA KIASI KILE KILE CHA PESA.
 
Mkuu ipo hivi, hospital ina vitengo vingi na kila kitengo kina kazi yake... unafika mapokezi unapokelewa unaandikisha kadi yako na kuchukuliwa vipimo vya msingi mara nyingi (vital signs) then unaenda kwa Dr. atakutake history then ataorder vipimo maabara, alafu utarudi kwa Dr ili akuandikie dawa na zile dawa huchukui kwenye chumba cha Dr. bali dispensing room, huko ndo wanajua sasa bei ya kila dawa maana copy za bei za dawa wanazo wao, so ukitaka kujua umetumia sh. ngapi uliza pale unapochukulia dawa japo ni ngumu kidogo maana huwa panakiwa buzy and by the way unakuwa umechoka baada ya folen mapokez, folen chumba cha Dr. foleni Maabara, folen tena kwenye kuchukua dawa.. ila ukitaka kuuliza uliza kwenye hiyo department niliyokueleza.. karibu
 
Back
Top Bottom