Anayewaambia chupi ikilowekwa ni chafu sana nani? kwa faida ya wote nisikilizeni. wanawake hawaloeki chupi kwa kuwa ni chafu au imevaliwa siku nyingi no, wanawake wengi wasaafi hupendelea kuvaa chupi nyeupe under normal circumstances, na ku take care nguo nyeupe yeyote apart from chupi lazima mara moja moja uwe unailoweka na omo au any detergent. Sasa kama umevaa chupi asubuhi ukarudi jioni kukailoweka kwenye maji ili kesho uifue ing'ae vizuri kuna uhusiano gani uchafu au kuvaliwa siku nyingi? baadhi ya wanawake si kama baadhi ya wanaume wanaoloweka tu kwenye maji na kupikicha kisha kuanika no, mwisho wa siku kama ni nyupe inakuwa ya brown.
Anayewaambia chupi ikilowekwa ni chafu sana nani? kwa faida ya wote nisikilizeni. wanawake hawaloeki chupi kwa kuwa ni chafu au imevaliwa siku nyingi no, wanawake wengi wasaafi hupendelea kuvaa chupi nyeupe under normal circumstances, na ku take care nguo nyeupe yeyote apart from chupi lazima mara moja moja uwe unailoweka na omo au any detergent. Sasa kama umevaa chupi asubuhi ukarudi jioni kukailoweka kwenye maji ili kesho uifue ing'ae vizuri kuna uhusiano gani uchafu au kuvaliwa siku nyingi? baadhi ya wanawake si kama baadhi ya wanaume wanaoloweka tu kwenye maji na kupikicha kisha kuanika no, mwisho wa siku kama ni nyupe inakuwa ya brown.
Nimeongea naye asubuhi anaendelea vema. Leo yuko job.MJ1 juzi alikuwa anaumwa, una mawasiliano nae umuulize anaendeleaje? cjamuona toka jana.
Umeona sasa? Unajua wajibu wa kufua kufuli ni wa nani afu unatuzengua tu hapa.Anayewaambia chupi ikilowekwa ni chafu sana nani? kwa faida ya wote nisikilizeni. wanawake hawaloeki chupi kwa kuwa ni chafu au imevaliwa siku nyingi no, wanawake wengi wasaafi hupendelea kuvaa chupi nyeupe under normal circumstances, na ku take care nguo nyeupe yeyote apart from chupi lazima mara moja moja uwe unailoweka na omo au any detergent. Sasa kama umevaa chupi asubuhi ukarudi jioni kukailoweka kwenye maji ili kesho uifue ing'ae vizuri kuna uhusiano gani uchafu au kuvaliwa siku nyingi? baadhi ya wanawake si kama baadhi ya wanaume wanaoloweka tu kwenye maji na kupikicha kisha kuanika no, mwisho wa siku kama ni nyupe inakuwa ya brown.
Najaribu kuimagine hiyo chupi ya kulowekwa usiku kucha ndipo ifuliwe itakuwa imevaliwa kwa siku ngapi? To me kufua a single chupi ni kazi ya dakika kama tano tu!
Sasa mbona hujamgongea senksi? Vidole vinauma?kanifurahisha saaaaaaaaaaaaaaana
Nimeongea naye asubuhi anaendelea vema. Leo yuko job.
Umeona sasa? Unajua wajibu wa kufua kufuli ni wa nani afu unatuzengua tu hapa.
Mamushka kweli unaweza kuniachia kufuli lako nikufulie?briliant my dear!!!!!
usafi ni sifa muhimu sana kwetu...................
wanafua nguo za ndani kwa Mwezi mara moja - ndiyo maana zinalowekwa!
MJ1 juzi alikuwa anaumwa, una mawasiliano nae umuulize anaendeleaje? cjamuona toka jana.
Sasa mbona hujamgongea senksi? Vidole vinauma?
Mamushka kweli unaweza kuniachia kufuli lako nikufulie?
why not mbona zako nafua papaushka???
Si wajibu wako?
Unataka white iwe brown?
weeeeeeeeeeeee
wapi pameandikwa.......ni wajibu wangu??
Yeah, rare i agree. You are of your own type, disrespectiful of women, humiliator and bossy. Real men dont do that.
hifi fineno fina harufu ya beijing........................ zingatia wajibu wako mama, azawaizi tusilaumiane siku moja................... makufuli mi kufua no, no, no, no......... no............................ labda kama umekatika vidole, na hiyo ni spesho kesi............. kuna faida gani ya kuoa sasa............................ na hayo majibu yenu ya kibeijing yatawacost wengi.............................
Tukifanya masihara na hawa watu watatutaka tupangiane zamu ya kupika!
weeeeeeeeeeeee
wapi pameandikwa.......ni wajibu wangu??
Tukifanya masihara na hawa watu watatutaka tupangiane zamu ya kupika!