Kusafirisha mzigo Kahama

Kusafirisha mzigo Kahama

Dr Lizzy

Platinum Member
Joined
May 25, 2009
Posts
31,010
Reaction score
60,472
Hello guys...

Nataka kutuma Jiko la kupikia (55cm × 50cm) kutokea Dar kwenda Kahama ila sijui wapi naweza pata huduma ya usafiri.

Nimejaribu kucheki na Dar Lux ila wao wamesema haiwezekani sababu lina mlango wa kioo (wanaogopa usije ukapasuka). So yeahhh....naomba mnisaidie option nyingine kwa wanaofahamu.

Kama nikipata mawasiliano/gharama ntashukuru zaidi.
 
Hello guys...

Nataka kutuma Jiko la kupikia (55cm × 50cm) kutokea Dar kwenda Kahama ila sijui wapi naweza pata huduma ya usafiri.

Nimejaribu kucheki na DarLux ila wao wamesema haiwezekani sababu lina mlango wa kioo (wanaogopa usije ukapasuka). So yeahhh....naomba mnisaidie option nyingine kwa wanaofahamu.

Kama nikipata mawasiliano/gharama ntashukuru zaidi.
0772 099471 nicheck hapo
 
Nenda ofisi za darlux shekilango.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hello guys...

Nataka kutuma Jiko la kupikia (55cm × 50cm) kutokea Dar kwenda Kahama ila sijui wapi naweza pata huduma ya usafiri.

Nimejaribu kucheki na Dar Lux ila wao wamesema haiwezekani sababu lina mlango wa kioo (wanaogopa usije ukapasuka). So yeahhh....naomba mnisaidie option nyingine kwa wanaofahamu.

Kama nikipata mawasiliano/gharama ntashukuru zaidi.
Mtafute huyu jamaa anaitwa Mandela ana ofisi pale ubungo kule kwenye makontena aliwahi kunisafirishia taa ya gari umbali wa kama km 1200 ilifika salama bila hata mkwaruzo namba yake ni 0718173025 umwambie nimeagizwa na mdogo wake Mgogo. Ila hakikisha umefika ofisini kwake na kama ukikwama unitafute hapa JF
 
Mtafute huyu jamaa anaitwa Mandela ana ofisi pale ubungo kule kwenye makontena aliwahi kunisafirishia taa ya gari umbali wa kama km 1200 ilifika salama bila hata mkwaruzo namba yake ni 0718173025 umwambie nimeagizwa na mdogo wake Mgogo. Ila hakikisha umefika ofisini kwake na kama ukikwama unitafute hapa JF

Shukran sana. Ntamtafuta kesho mapema then nikikwama mahali ntakucheki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom