Zilikuwa bidhaa za urembo .sasa alikuwepo huyo mama ukimpigia simu hatoi ushirikiano wa kutosha, WhatsApp hajibu maswali labda unamuuliza supplier wangu kasha deliver mzigo wangu ofisi zenu za china naomba nichekie kama umefika hajibu, labda nina mzigo kutoka kwa supplier mmoja ni kg 3 na supplier mwingine ni kg 4 je hiyo mzigo inaweza kuunganisha kwenye malipo au kila mmoja nitalipia kivyake kwasababu kwenye page yenu mmeandika minmum ni 5 kg kama mzigo wako haujafika 5kg utahesabika kama 5 kg . At least mlivyoweka tracking number kwenye website yenu ndo ilinipa matumaini maana kusubiri mzigo miezi 2 na huna wa kumuuliza sio mchezo ni heri kutumia meli