Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu acheni kufanya kazi kama gazeti au chombo cha propaganda

To the contrary.

I hardly give a fu.ck.

I'm practically celibate.
You should, at the end of the day it is your country, and the country of your children, grandchildren, great-grandchildren, great-great gandchildren etc etc.
 
You should, at the end of the day it is your country, and the country of your children, grandchildren, great-grandchildren, great-great gandchildren etc etc.
Not with that kind of disjointed, ambivalent, wishy-washy, cognitive dissonance you display.

I want none of that.

You want change to make things better. But you don't want the ugly transparency that will accelerate that change.

You sound confused.
 
Not with that kind of disjointed, ambivalent, wishy-washy, cognitive dissonance you display. I want none of that. You want change to make things better. But you don't want the ugly transparency that will accelerate that change. You sound confused.

Be the change you want to see!
 
Kama umeshindwa kumfundisha kazi Mbowe ili aachie madaraka baada ya kuichakaza saccos , utaweza kuifundisha kazi kurugenzi ya ikulu??
Hivi kila aliyepo humu ni Chadema au ccm? Poor thinking
 
Siku Kurugenzi hii ikipunguza kutoa taarifa za Rais napo tutalalamika kupunjwa habari.. Ni ada ya mja kunena.
 
Kama umeshindwa kumfundisha kazi Mbowe ili aachie madaraka baada ya kuichakaza saccos , utaweza kuifundisha kazi kurugenzi ya ikulu??

Hivi kila aliyepo humu ni Chadema au ccm? Poor thinking

Mkuu watu wengine ni wa kuwahurumia tu, kama huyu. Hapo mwenzako kafikia uwezo wake wa kufikiri. Ametafakari masaa zaidi ya mawili ajibu nini ndio akapata hilo jibu. Anastahili kupewa pongezi kwa kujitahidi kujibu.
 
Zitaje hizo criteria Mkuu?
Hili swala hata mimi limenipa ukakasi kidogo, Kwanza Ile taarifa ilirekodiwa Kwa simu Kama uminglaia vizuri huko mitandaoni. Kimsingi mimi binafs ni "PR officer" by professional, ili kitu kiwe habari mpaka ikahitajika kutolewa maelekekezo tena kupitia "news release" Ile ya Jana haina hata sababu moja ya kutolewa taarifa rasmi . Hiki kitengo kimegeuka kuwa cha propaganda bila hata aibu..........hata Kwa mwandishi wa habari makini hawezi akaichukua Ile habari Kama priority, Kwa sababu inakosa "criteria" nyingi za kuwa habari!!!!!
 
Kwani PR (Kurugenzi) imekiuka wajibu?
Nimekuwa nikifuatilia taarifa zinazotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ikulu, na kuona mara nyingi sana watoa taarifa ambazo kwa kweli zinapaswa tu kuripotiwa na magazeti ya kila siku badala ya kuzitoa kama taarifa rasmi kwenye headed paper ya kurugenzi.

Je, Kurugenzi ya Mawasiliano wameamua kuwa kuwa chombo cha propaganda za kisiasa za Raisi Magufuli badala ya kuwa chombo ambacho kinatoa taarifa muhimu na rasmi kwa wananchi?

Kwa mfano hili la Rais kufanya mazoezi na kutoa mchango wa milioni 20 kwa ajili ya wavuvi. Kweli hivi vitu ni vya kutolea taarifa rasmi kwenye headed paper ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu?

Kuna vitu vidogo vidogo vingi tu ambavyo Kurugenzi ya Mawasiliano huwa inaamua kuvitolea taarifa rasmi ambavyo kwa kweli wala havistahili kupewa hadhi ya taarifa rasmi kutoka Ikulu. Hii inashusha hadhi ya Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu na kufanya waonekane kama ni gazeti la mtaani au chombo cha Propaganda cha Rais. Tafadhali jirekebisheni.
 
Kama umeshindwa kumfundisha kazi Mbowe ili aachie madaraka baada ya kuichakaza saccos , utaweza kuifundisha kazi kurugenzi ya ikulu??
Wewe kijana unazidi kudhibitisha kuwa ni mbumbumbu zaidi ya kiwango kilicho pitishwa na WHO. Ile Ikulu ni ya Watanzania ambao wengi wao sio CCM wala Chadema, hivyo wanaizungumzia kama ofisi yao Namba moja.
Mambo ya Mbowe ambaye hayupo mle yanahusiana vipi na thread hii?
 
Unarejea misingi ipi kutofautisha habari kubwa na ndogo kwa taasisi husika?
Hatujaelewana Mkuu. Hatusemi Kurugenzi ya Mawasiliano haipaswi kutoa taarifa. Lakini misingi ya press release, hasa kwa taasisi kama IKulu ni kwamba sio unaripoti vitu visivyo na maana au umuhimu kwa taifa. Sasa Magufuli kutoa milioni 20 tena ya kushitukiza akiwa mazoezini kwa ajili ya wavuvi pale Kigamboni ina umuhimu gani kwa mkulima wa Pamba wa Shinyanga hadi itolewe kama taarifa rasmi kwa ajili ya Watanzania wote? Kumbuka Magufuli sio raisi wa Dar es Salaam na press release za Ikulu sio kwa ajili ya Dar es Salaam

Hawa Kurugenzi ni kwamba wanafanya kazi sio kama professional reporters, bali kundi la mashabiki wa Magufuli ambao wanaona kila kitu anachofanya Magufuli ni taarifa rasmi kwa Watanzania wote. Hilo ndilo tunakataa. Kama hawajui ni nini kinapaswa kuwa taarifa rasmi ya kutolewa kama press release basi waondoke pale. La sivyo waanzishe kijarida cha kila siku wakiite "Kutoka Meza ya Magufuli" na kutoa vijihabari vidogo vidogo kama hivyo. Hizi press releaze zinasomwa na watu wengi na sana sana zinatutia aibu tunaonekana kama just another SH country.

Acha tuiheshimu Press Release au Taarifa Rasmi kutoka Ikulu na kuipa status inayokubalika, sio vitaarifa ambavyo hata gazeti la kawaida la kila siku haviziweki kwenye chapisho kwa kuwa wanaona sio news.
 
Unarejea misingi ipi kutofautisha habari kubwa na ndogo kwa taasisi husika?
Mkuu kama huwezi kuelewa ipi ni taarifa rasmi kwa Taifa inayopaswa kutolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu basi wala usijihangaishe kujibu hii thread. Ni bora usome comments za wengine ili kufuatilia mada.
 
Kama umeshindwa kumfundisha kazi Mbowe ili aachie madaraka baada ya kuichakaza saccos , utaweza kuifundisha kazi kurugenzi ya ikulu??
mbona mnawashwawashwa sana na KAMANDA MBOWE!! hivii hajawakuna siku nyingi auuu?
hebu mtafuteni LEPROO LIPUMBUZZZ anaweza labda kuwakuna vipele vyenyu
 
kurugenzi wapo sawa kutu habarisha lazima watii, Lengo kuu lilikuwa mkuu atuonyeshe mama yetu wapo kwenye right truck kufuatia vijineno kupotea ktk media. Rejeeni video clip sauti ya mkuu .....na mama huyu hapa....
 
Kumpamba jiwe ndo jukumu #1 la wateuliwa awamu hii.. Hata mawaziri ukiwaskiliza wanapohutubia, wanaweza kusahau kumshukuru Mungu lkn siyo jiwe
 
Back
Top Bottom