kurudisha email zilizofutwa katika folder la sent items

kurudisha email zilizofutwa katika folder la sent items

Jerrymsigwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
14,084
Reaction score
8,400
Leo asubuhi kuna mtu aliingia na kutumia password na kuingia katika email yangu akidai pesa kwa kutumia signature yangu. Ameingia hadi katika sent items na kufuta zoote kiasi kwamba siwezi tena kuzipata data zangu muhimu nilizotunza zaidi ya miaka 15 sasa. Je nifanyeje ili niweze kusoma tena folder la sent items? kuna ujanja wowote hapo ama ndio imekula kwangu for good? TIA
 
Leo asubuhi kuna mtu aliingia na kutumia password na kuingia katika email yangu akidai pesa kwa kutumia signature yangu. Ameingia hadi katika sent items na kufuta zoote kiasi kwamba siwezi tena kuzipata data zangu muhimu nilizotunza zaidi ya miaka 15 sasa. Je nifanyeje ili niweze kusoma tena folder la sent items? kuna ujanja wowote hapo ama ndio imekula kwangu for good? TIA

Ingia Junk box utazipata zote
 
Leo asubuhi kuna mtu aliingia na kutumia password na kuingia katika email yangu akidai pesa kwa kutumia signature yangu. Ameingia hadi katika sent items na kufuta zoote kiasi kwamba siwezi tena kuzipata data zangu muhimu nilizotunza zaidi ya miaka 15 sasa. Je nifanyeje ili niweze kusoma tena folder la sent items? kuna ujanja wowote hapo ama ndio imekula kwangu for good? TIA


kama ni gmail zinarudi zote lkn hiyo ni onetime process...mm wanipa refund ya hela kutoka aliexpress nilipoenda CRDB wakanidai email iliyotuwa kuonesha hicho kitu sasa mimi hiyo email nilishafuta kitambo tu...nilishofanya nili google "how to recover deleted emails" mpaka wakazirudisha zote
 
kama ni gmail zinarudi zote lkn hiyo ni onetime process...mm wanipa refund ya hela kutoka aliexpress nilipoenda CRDB wakanidai email iliyotuwa kuonesha hicho kitu sasa mimi hiyo email nilishafuta kitambo tu...nilishofanya nili google "how to recover deleted emails" mpaka wakazirudisha zote

Asante sana mkuu, I will do the same
 
Ha ha haaa usiwatukane aisee.. Labda hatujui jinsi ya kurejesha mafail..

Hawa jamaa ni wa mtaani tu nishawajua coz wamejack acc 2 kwa mara moja na details zao ni accent ya kizungu
 
kama ulishawahi kuconnect email client kama outlook au hata ya simu unaweza ukazikuta kwenye hiyo client.
Yahoo wanarekover ndani ya 24 hours tu https://answers.yahoo.com/question/index?qid=20090509201358AARMZGS

Gmail wana huduma ya kujaribu kuokoa kama uliingiliwa ila haiko guaranteed https://support.google.com/mail/answer/78353?hl=en
 
Back
Top Bottom