Kuroiler Breeds

Kuroiler Breeds

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,942
Reaction score
9,463
Wakuu kwa sasa unaweza pata Kuroiler Breed kwa Oda, Ila kama uko mbali na Arusha means Dar na kwingineko trasnport utaalenji mwenyewe. Kuroiler ni Breed kutoka India ina origine ya India, ni moja kati ya Breed zinazo weza kuishi mazingira magumu huenda kuliko hata kuku wetu wa Kienyeji. Na wanakuwa very fast compare na Breed zingine zote
5324_774385732612403_6223549831382752460_n.jpg


Hawa wana Four Month, na Mara zote Kuroiler wana langi tofauti tofauti.
 
Ila shida yao ni kama kuku wengine hybrid hawaatamii mayayi but they produce egg twice local so unahitaji incubator to multiply your stock
 
Mkuu nilikuja arusha tena nilikujulisha wiki moja kabla.. kufika arusha hujapokea simu wala kujibu msg.. Sikutegemea hilo kutokea kwako.. NA LIMENITIA MASHAKA MAKUBWA..
 
Yawezekana hakuwepo/safari nchi jirani maana kidongo ninachofahamu huyu jamaa ni
mtu poa
 
Ila shida yao ni kama kuku wengine hybrid hawaatamii mayayi but they produce egg twice local so unahitaji incubator to multiply your stock

Sikupokea simu? No simu yangu inakuwaga on au sime time line ua airtel huwa naiaweka kwenye modem mana hapo simu itaita ila siwezi jua.
Simu zinakuwaga on mkuu,
 
Ila shida yao ni kama kuku wengine hybrid hawaatamii mayayi but they produce egg twice local so unahitaji incubator to multiply your stock

Ya hawaatamii, ingawa mim minao baashi huwa wanaatamia sijajua why, hawa kuku wana resisit magonjwa nana mazingira that is why mseven aliwapenda
 
Samahani mkuu ndani yakipindihicho walikuwa wanakula chakula maalum au kwakujitafutia?..
 
Samahani mkuu ndani yakipindihicho walikuwa wanakula chakula maalum au kwakujitafutia?..

Kuku kujitafutia Chakula inatakiwa uwe na eneo la kutosha ambalo wanaweza zunguka na si tu la kutosha hakikisha kuna wadudu wa kula, Kama una eneo dogo sana na umeweka fensi inakuwa ni kuwaresa sana na ni lazima uwapatie chakula cha ziada.
 
Week old Tsh 3500/ Day Old 2800/ ukitaka unaweza tunziwa hadi mwezi mzima kwa bei tofauti lakini

Nilikiwa na Kuku wa kienyeji 60 wameingiliwa na ugonjwa nimejulishwa baada ya siku Tatu wakati ugonjwa umesambaa wote wakafa sasa nataka kuanza na hao pia kwa bei ya vifaranga wa mwezi ni kiasi gani? Pia nijuze kuhusu kenbro Je naweza wachanganya wakaishi pamoja I mean 50/50 sina utaalaam hivyo naomba unisaidie
 
Mkuu Chacha naomba unijulishe ni kwa vipi kwa mtu aliye mwanza anaweza wapata????
 
Nilikiwa na Kuku wa kienyeji 60 wameingiliwa na ugonjwa nimejulishwa baada ya siku Tatu wakati ugonjwa umesambaa wote wakafa sasa nataka kuanza na hao pia kwa bei ya vifaranga wa mwezi ni kiasi gani? Pia nijuze kuhusu kenbro Je naweza wachanganya wakaishi pamoja I mean 50/50 sina utaalaam hivyo naomba unisaidie

Dah Pole sana Mkuu kuku 60 si mchezo, ni kuku wengi sana, ilikuwa ni ugonjwa gani? Yes unaweza wachanganya wakiwa wadogo ila wakainza kutaga inabidi kila breed ikae kivyake, wasichanganywe
 
Mkuu Chacha naomba unijulishe ni kwa vipi kwa mtu aliye mwanza anaweza wapata????

Dah uko mwanza? Ni changamoto sana kusafilisha huko, Ila nina plan moja hivi kama ikikaa freshi basi itakuwa ni suluhisho
 
Dah Pole sana Mkuu kuku 60 si mchezo, ni kuku wengi sana, ilikuwa ni ugonjwa gani? Yes unaweza wachanganya wakiwa wadogo ila wakainza kutaga inabidi kila breed ikae kivyake, wasichanganywe

Asante sana bro, kawaida Kuku wangu wapo sehemu ambayo ina mashine za unga na wana banda kubwa tu ila sikuwepo na waangalizi hawakuweza kuwaangalia vilivyo kwa chakula, naliwakuta baadhi wakiwa nje ya eneo langu kwenye taka nafikiri hicho ndio chanzo cha maradhi. Itabidi niwe napata ushauri kwenu mara kwa mara kwani ni hasara kubwa
 
Kuku kujitafutia Chakula inatakiwa uwe na eneo la kutosha ambalo wanaweza zunguka na si tu la kutosha hakikisha kuna wadudu wa kula, Kama una eneo dogo sana na umeweka fensi inakuwa ni kuwaresa sana na ni lazima uwapatie chakula cha ziada.

Akhsante.
 
Asante sana bro, kawaida Kuku wangu wapo sehemu ambayo ina mashine za unga na wana banda kubwa tu ila sikuwepo na waangalizi hawakuweza kuwaangalia vilivyo kwa chakula, naliwakuta baadhi wakiwa nje ya eneo langu kwenye taka nafikiri hicho ndio chanzo cha maradhi. Itabidi niwe napata ushauri kwenu mara kwa mara kwani ni hasara kubwa

Pole sana Mkuu, Chalenge wanayo pata Wafugaji wengi na wakulima ni ya Kufuga kwa Nia ya simu, Hii njia kamwe mtu huwezi fanikiwa, Hao unao waachia hawana uchungu na hiyi mali, hata wakifa kwao haiwa pain chochote, Ila wewe mwenye uchungu nazani hata kula unaweza usile, Changamoto ndo hizo ila Kama kweli mtu anataka kufuga au kulima kibaishara ni lazima uchague moja, Kuwa full kwenye kazi au kuendelea kupata hasara huku ukifuga kwa njia ya simu
 
Back
Top Bottom