A alda New Member Jun 14, 2017 4 0 Jun 17, 2017 #1 Jamani eti waliochaguliwa lujiunga na advance 2017 wanataliwa kuripoti shuleni lini
Castr JF-Expert Member Apr 5, 2014 31,983 64,013 Jun 17, 2017 #2 Kwa kawaida post yako ukishajua ilipokupeleka kinachofuata ni wewe kuchukua joining instruction, hapo ndiyo mtu unajua lini utatakiwa kwenda kuripoti. Umepata post wapi?
Kwa kawaida post yako ukishajua ilipokupeleka kinachofuata ni wewe kuchukua joining instruction, hapo ndiyo mtu unajua lini utatakiwa kwenda kuripoti. Umepata post wapi?
M MZEE RAZA JF-Expert Member Feb 19, 2015 3,437 2,404 Jun 18, 2017 #3 alda said: Jamani eti waliochaguliwa lujiunga na advance 2017 wanataliwa kuripoti shuleni lini Click to expand... Form five wote wanatakiwa kuripoti shuleni kuanzia July 17 hadi July 31
alda said: Jamani eti waliochaguliwa lujiunga na advance 2017 wanataliwa kuripoti shuleni lini Click to expand... Form five wote wanatakiwa kuripoti shuleni kuanzia July 17 hadi July 31
A alda New Member Jun 14, 2017 4 0 Jun 19, 2017 Thread starter #5 Jamani naitaji kujua ratiba ya masomo katika shule ya lugoba