Jinsi ya Kuripoti kituo cha kazi mwaka 2023

Black Beast

Senior Member
Aug 6, 2019
127
486
Hongereni vijana wote mliofanikiwa kufaulu na kupangiwa vituo vya kazi wale ambao bado msichoke kusubiri mambo mazuri yanakuja. Nimepata maswali mengi DM juu ya namna ya kuripoti kituo cha kazi, nini kinahotakika, changamoto, posho zakujikimu, mshahara unatoka lini, check number n.k.

Kwa faida ya wote waliolamba asali na watakaolamba siku za usoni naomba members wenye kujua utaratibu wa kuripoti kazini na stahiki anazopewa mwajiriwa mpya walete nondo hapa chini.

Ahsante

images%20-%202023-10-01T011447.662.jpg
 
Utaratibu niliotumia mimi binafsi ni kuwasili kituo cha kazi na vyeti halisi vya elimu, kuzaliwa, ndoa ( kama ipo), passport sizes baada ya hapo mwajiri anatoa kopi na kuandaa file lako alafu anakwambia rudi nyumbani utaitwa wengine mnaweza kushare ya kwenu pia.
 
1.Kwanza kabisa beba documents zote ulizoambiwa kubeba
2.muhimu uwahi mapema kuripoti
Hii itakusaidia Kama umeripoti kabla ya tareh 15 unawez kupata mshahar wa mwezi huo ulioripoti
3.kajaze mikataba yote
4.jiandae kurudi nyumban baada ya kuripot
Ko utarud kuripoti kazini baada ya kuona mshahar wako husika
5.kuhusu pesa ya kujikim hizi pesa zinatoka serikali kuu jinsi ya kupata hizi pesa inategemea uharaka wa halmashaur yako
 
1.Kwanza kabisa beba documents zote ulizoambiwa kubeba
2.muhimu uwahi mapema kuripoti
Hii itakusaidia Kama umeripoti kabla ya tareh 15 unawez kupata mshahar wa mwezi huo ulioripoti
3.kajaze mikataba yote
4.jiandae kurudi nyumban baada ya kuripot
Ko utarud kuripoti kazini baada ya kuona mshahar wako husika
5.kuhusu pesa ya kujikim hizi pesa zinatoka serikali kuu jinsi ya kupata hizi pesa inategemea uharaka wa halmashaur yako
Halmashauri Tena mm nikajuwa ewura au brelaa


Kazi za halmashauri Ni hovyo Sana Ni hkn tu Kazi kwingine maanake Wala nisingekushauri ukanyage kule
 
Boss nipo halmashaur X
Ila tulipambana kupata pesa zetu za kujikim Ila mungu amesaidia tumepata pesa zetu
Ni ajira mpya June 2023
Nawasilisha
Pesa ya mwaka huu imenyooka
Kwa sababu muongoz ulitoka serikali kuu

Japo picha haionekani vizuri
IMG-20230928-WA0000.jpg
 
1.Kwanza kabisa beba documents zote ulizoambiwa kubeba
2.muhimu uwahi mapema kuripoti
Hii itakusaidia Kama umeripoti kabla ya tareh 15 unawez kupata mshahar wa mwezi huo ulioripoti
3.kajaze mikataba yote
4.jiandae kurudi nyumban baada ya kuripot
Ko utarud kuripoti kazini baada ya kuona mshahar wako husika
5.kuhusu pesa ya kujikim hizi pesa zinatoka serikali kuu jinsi ya kupata hizi pesa inategemea uharaka wa halmashaur yako
Namb 5 hapo, Kwa upande wa halmashauri wanatumia mapato ya ndani, hazitoki serikali kuu
 
1.Kwanza kabisa beba documents zote ulizoambiwa kubeba
2.muhimu uwahi mapema kuripoti
Hii itakusaidia Kama umeripoti kabla ya tareh 15 unawez kupata mshahar wa mwezi huo ulioripoti
3.kajaze mikataba yote
4.jiandae kurudi nyumban baada ya kuripot
Ko utarud kuripoti kazini baada ya kuona mshahar wako husika
5.kuhusu pesa ya kujikim hizi pesa zinatoka serikali kuu jinsi ya kupata hizi pesa inategemea uharaka wa halmashaur yako
Kabisa 100%
 
Back
Top Bottom