Wakuu habari zenu? Natumai mnaendelea vizuri na shughuli zenu za kila siku.
Kuna shida moja imenikuta hapa, kuna simu aina ya Tecno Y3+ ambayo hii ikiwashwa tu inaishia pale "Experience smart life " halafu inaganda hapo hapo haistart kabisa kufikia kwenye screen kwa ajili ya matumizi kama kupiga, etc.
Naombeni msaada jinsi ya kutatua hiyo shida.
Thanks in advance.
Kuna shida moja imenikuta hapa, kuna simu aina ya Tecno Y3+ ambayo hii ikiwashwa tu inaishia pale "Experience smart life " halafu inaganda hapo hapo haistart kabisa kufikia kwenye screen kwa ajili ya matumizi kama kupiga, etc.
Naombeni msaada jinsi ya kutatua hiyo shida.
Thanks in advance.