magufuli kura 1560.
Migiro kura 702.
Amina kura 349.
👽from: Source in the kitchen.
Officially john pombe magufuli is a presidential candidate for ccm.
Kuhusu kundi la huo mtandao....naaah....I'm different and I like it that way.
Shauri yako, yule ana-trend kule, mko wengi!
Who's trending? The good Prof.?
WN, yupo mule, kajaa tele, kalagabaho
Wewe endelea kulishughulia hilo beef lako bovu mengine tuachie wenye nchiUnajua nilikuwa sijawahi kufuatilia kwa macho yangu michakato yao ya kutafuta wagombea lakini leo ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza.
Hivyo kuona kwa macho kunatoa perspective iliyo tofauti kidogo na kusikia tu redioni ama kusoma magazetini na kwenye mablogu.
I mean, Mark Mwandosya imekuwaje hakufika hata tano bora?
Na kama mchakato mzima ungepigiwa kura za huru na haki tokea mwanzo kwenye yale majina 38 basi Lowassa ndo angekuwa mpeperusha bendera wao.
Lakini hayo majina 33 yalivyokatwa kinyemela inaonyesha ni jinsi gani ambavyo tayari the powers that be walivyokuwa wameamua.
Wewe endelea kulishughulia hilo beef lako bovu mengine tuachie wenye nchi
Kwahiyo walotaka kuchakachuaCCM ni wajinga na wapumbavu wa kutupwa na wamedhihirisha wanazo hizo sifa kwa kuahirisha uhesabuji wa kura.
Nadhani suala zima lilikuwa limepangwa.
Kura zinazopigwa usiku [halafu kura zenyewe chache mno] halafu ambazo matokeo yake yanatangazwa asubuhi, zinakosa integrity.
Hivi kwa mfano usiku huu hizo kura zimesimamiwa na nani?
Usikute sasa hivi tayari washazihesabu na kama mtu wamtakaye hana za kutosha basi ndo muda muafaka wa kufanya ujanja ujanja.
Ndo baas tenaHuu ndio muda wa UKAWA kwenda magogoni.....yani tukijichanganya hapa ndio basi tena.....
Kwahiyo EL anaua?Halafu atamtengenezea mazingira ya kumuua then kwa katiba yetu EL atakuwa rais