Ngabu nakushangaa wewe unae washangaa CCM
they have done this katika election zao karibu zoote
Magufuli atawekwa sawa....hivyo hata matokeo atakua anayajua
kwa ufupi wale watatu wote walishawekwa sawa behind the scene
CCM wana kawaida ya kufikia mabaliano halafu wanaenda kuigiza mbele ya TV
kila kitu ni maigizo already
jiulize hiyo top five ilipatikanaje?maigizo....hiyo top three nayo maigizo
na the winner kashapangwa na i am sure usiku huu ana extra security kuliko wenzie
tungekuwa Dom tungeona tu kwa macho yupi alie ongezewa security tukajua ndie winner