Kura yangu ya urais kwa Lowassa

Kura yangu ya urais kwa Lowassa

Mpangamji

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2010
Posts
540
Reaction score
141
Watanzania tumegubikwa na jinamizi la kuwafanyia siasa chafu watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu yenye tija na nchi yetu. tumekuwa vipofu wa kuona yale wanayofanya viongozi hawa wenye bidii ya kazi zao binafsi pamoja na za nchi hii isiyokuwa na shukrani.

Lowassa ni mtanzania anayejituma katika kazi zake na hivyo zimempekea kufika hapo alipo (utajiri) lakini pia ni kiongozi shupavu anayeweza kukemea tofauti na yeyote ambaye tunae sasa. Sijawahi kupiga kura tangu nijiandikishe, lakini sasa nimeamua nitapiga kura mwaka huu. kwa CCM nitampigia Mheshimiwa Lowassa ambaye kwa juhudi zake binafsi amewezesha mambo mengi na yenye manufaa makubwa kwa nchi hii ukilinganisha na wengine wanaojinadi "si-mafisadi".

kama hatakuwepo Lowassa basi kura yangu ya urais itakwenda kwa Mheshimiwa Dr. Bunduki (Slaa) ili naye aendelee kulipua mabomu yake. lakini katika utendaji kazi Lowassa na Slaa, Lowassa Zaidi.
 
Watanzania tumegubikwa na jinamizi la kuwafanyia siasa chafu watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu yenye tija na nchi yetu. tumekuwa vipofu wa kuona yale wanayofanya viongozi hawa wenye bidii ya kazi zao binafsi pamoja na za nchi hii isiyokuwa na shukrani. Lowassa ni mtanzania anayejituma katika kazi zake na hivyo zimempekea kufika hapo alipo (utajiri) lakini pia ni kiongozi shupavu anayeweza kukemea tofauti na yeyote ambaye tunae sasa. Sijawahi kupiga kura tangu nijiandikishe, lakini sasa nimeamua nitapiga kura mwaka huu. kwa CCM nitampigia Mheshimiwa Lowassa ambaye kwa juhudi zake binafsi amewezesha mambo mengi na yenye manufaa makubwa kwa nchi hii ukilinganisha na wengine wanaojinadi "si-mafisadi". kama hatakuwepo Lowassa basi kura yangu ya urais itakwenda kwa Mheshimiwa Dr. Bunduki (Slaa) ili naye aendelee kulipua mabomu yake. lakini katika utendaji kazi Lowassa na Slaa, Lowassa Zaidi.

Is it April 1st already!
 
OK it goes like this
  • Malaria Sugu nothing matters but JK
  • Juma contena for ordinary Tanzania
  • Masanilo aeleweki, on what he stands for?
  • Mpangamji nae kaona bora aje na nyimbo za Lowassa
My take, 'Kazi kweli kweli'.
 
we mpanga mji, kapange mji ulale acha kelele
 
Jamani mbona hivi lakini? Is JF really home of great thinkers?
 
Lo!
Jamaa anazungumzia ubunge wa jimbo la Monduli au?
Lakini heading imesema URAIS.
Mh! hapana sidhani kama member mwenzetu yupo OK.
 
Lo!
Jamaa anazungumzia ubunge wa jimbo la Monduli au?
Lakini heading imesema URAIS.
Mh! hapana sidhani kama member mwenzetu yupo OK.

niko Ok, tofauti na hata anavyouliza Douglas Sallu, hii JF ni kwa ajili ya great thinkers, mmojawapo ni kama mimi. tatizo letu tumepofushwa na jinsi tunavyofikiri, maelezo ya watu yakiwemo magazeti yanatufanya tufikiri kama wao wanavyotaka. kaeni pembeni muwe transparent to yourselves. fikiri kwa nini wewe mwenyewe mara nyingine unapokuwa unataka kupitisha jambo zuri kwa faida ya wengi vipingamizi vinakuwa vingi. tuijadili siasa ya nchi hii bila kujali nani anafikiri nini au nani alishasema nini. ukifreeze mambo mengine yote na kuangalia nani zaidi kwa kigezo kimoja tu cha kufanya maamuzi Lowassa anaongoza. Hivyo bado nasema, Urais kwa tiketi ya CCM nampa Lowassa, kama Lowassa hagombei basi kura yangu itaenda kwa Dr. Slaa. full stop. Think in 3-D
 
Lowassa alimwongoza nani mpaka ufikie conclusion kwamba ni mtendaji bora huo uwaziri mkuu au kuna lingine.. acha kuwadanganya watu.. angekuwa kiongozi mzuri angefikishwa mahakamani? Kwanza mimi nashangaa KATIBA ya nchi ipo ipo tu watu wana kesi pending mahakamani lakin wanaruhusiwa kugombea ubunge na mengineyo huu ni upuuzi kabisa...WATU WOTE WENYE KESI PENDING MAHAKAMANI WALIPASHWA KUZUIWA KUGOMBEA AINA YOYOTE YA UONGOZI PERIOD!! Lakini kwa vile nchi yetu inaongozwa na .........wazimu basi
 
OK it goes like this

  • Malaria Sugu nothing matters but JK
  • Juma contena for ordinary Tanzania
  • Masanilo aeleweki, on what he stands for?
  • Mpangamji nae kaona bora aje na nyimbo za Lowassa
My take, 'Kazi kweli kweli'.

Kwanini huwa mnadiriki kufungua na hata kuchangia topic zao😕
 
Watanzania tumegubikwa na jinamizi la kuwafanyia siasa chafu watu wanaoweza kufanya maamuzi magumu yenye tija na nchi yetu. tumekuwa vipofu wa kuona yale wanayofanya viongozi hawa wenye bidii ya kazi zao binafsi pamoja na za nchi hii isiyokuwa na shukrani.

Lowassa ni mtanzania anayejituma katika kazi zake na hivyo zimempekea kufika hapo alipo (utajiri) lakini pia ni kiongozi shupavu anayeweza kukemea tofauti na yeyote ambaye tunae sasa. Sijawahi kupiga kura tangu nijiandikishe, lakini sasa nimeamua nitapiga kura mwaka huu. kwa CCM nitampigia Mheshimiwa Lowassa ambaye kwa juhudi zake binafsi amewezesha mambo mengi na yenye manufaa makubwa kwa nchi hii ukilinganisha na wengine wanaojinadi "si-mafisadi".

kama hatakuwepo Lowassa basi kura yangu ya urais itakwenda kwa Mheshimiwa Dr. Bunduki (Slaa) ili naye aendelee kulipua mabomu yake. lakini katika utendaji kazi Lowassa na Slaa, Lowassa Zaidi.


Jamaa yupo makini sana, soma hapo nilipobold
 
Achane mawazo mgando...fikiria kwa akili yako...usione wewe ndio zaidi ya mwenzio..tulia na utafakari..kama yeye kaona lowassa bora huna haki ya kuhoji kama yeye ni great thinker kwaninani kakwambia wewe ni great thinker? Open your mind..wewe unayemuona anafaa basi kivyako...naumeambiwa kabisa think in 3-d? sio lazima uelewe
 
Back
Top Bottom