Mohammed wa 5
JF-Expert Member
- Jun 20, 2022
- 1,294
- 3,188
Habari za zenu wana jf
MImi ni kada wa chadema wa miaka mingi sana tokea nipo O level mpaka chuo na tushapewa sana suspension( kusimamisha shule kwa misimamo yangu ya kisiasa)
Kwa haya yanayofanyika nchini ni maigizo tu kwenye siasa hasa vyama vya upinzani ili kuleta demokrasia ya uongo.
Tuongee ukweri kabisa bila kutumia hisia hebu tumia tu akiri vyama vya siasa hasa vya upinzani vimekosa mvuto kwa wananchi ikiwemo chama cha chadema kwa sasa hakina ata nguvu kwenye siasa.
Kama taifa tuna kazi ngumu kulikomboa taifa kwa haina hii ya upinzani.ccm ataendelea kutawala kwa miaka mingi siasa ya nchi hii sababu hapati ile challenge real kwa vyama vya upinzani.
unaona kwa yanayofanyika kenya 45% ni power ya vyama upinzani.
Me sio ccm wala chadema ila ukiweka chadema saizi na andazi nachagua andani
Asanteni sana🙏
MImi ni kada wa chadema wa miaka mingi sana tokea nipo O level mpaka chuo na tushapewa sana suspension( kusimamisha shule kwa misimamo yangu ya kisiasa)
Kwa haya yanayofanyika nchini ni maigizo tu kwenye siasa hasa vyama vya upinzani ili kuleta demokrasia ya uongo.
Tuongee ukweri kabisa bila kutumia hisia hebu tumia tu akiri vyama vya siasa hasa vya upinzani vimekosa mvuto kwa wananchi ikiwemo chama cha chadema kwa sasa hakina ata nguvu kwenye siasa.
Kama taifa tuna kazi ngumu kulikomboa taifa kwa haina hii ya upinzani.ccm ataendelea kutawala kwa miaka mingi siasa ya nchi hii sababu hapati ile challenge real kwa vyama vya upinzani.
unaona kwa yanayofanyika kenya 45% ni power ya vyama upinzani.
Me sio ccm wala chadema ila ukiweka chadema saizi na andazi nachagua andani
Asanteni sana🙏