Kura ya maoni,wanaotaka dr slaa aondoke,

Kura ya maoni,wanaotaka dr slaa aondoke,

Sisi tunataka abaki na agombee 2015, njia ya mkato.
 
Sasa mkuu chuck unajisikiaje baada ya kupata majibu haya na matusi juu.?.FANYA UAMZI SASA HAMIA AIRTELL.
 
Watu makini wanaoitakia mema Chadema, watamshauri Dr. Ajiuzulu ili kuivunjilia mbali sectariet ya Chadema hiyo ndiyo njia pekee ya kumuengua ZZK na kundi lakje!. Ikiundwa upya mnamrudisha Dr. Slaa munus masalia!. Hakuna njia nyingine yoyote ya kuwaondoa kwa amani zaidi ya hii, mkiamua kuleta zile timua tumua zenu za jazba kama mlivyowafanyia wale madiwani wa Arusha na Mwanza, "Patachimbika!".
P.

Kaka Pasco kwanini umefikiria njia hiyo ambayo ni ngumu sana mimi issue ya masalia ni ndogo sana waitwe na kamati kuu wajieleze na asikilizwe ni vema wakajua tatizo kwa kuwasikiliza then hapo itakuwa rais kutoa nidhamu inawezeka wana hoja au wanamambo ambayo wakisikilizwa wanaweza kukusaidia chama hapo mbele ya safari.
 
Watu makini wanaoitakia mema Chadema, watamshauri Dr. Ajiuzulu ili kuivunjilia mbali sectariet ya Chadema hiyo ndiyo njia pekee ya kumuengua ZZK na kundi lakje!. Ikiundwa upya mnamrudisha Dr. Slaa munus masalia!. Hakuna njia nyingine yoyote ya kuwaondoa kwa amani zaidi ya hii, mkiamua kuleta zile timua tumua zenu za jazba kama mlivyowafanyia wale madiwani wa Arusha na Mwanza, "Patachimbika!".
P.

Na anakudanganya kuwa wasaliti wakitimliwa patachimbika? wawaulize wenzao akina Kafulili na NCCR MAGEUZI na HAMAD RASHID wa CUF uone kama vyama vyao vimekufa walipotimliwa.
 
Mbona ninyi magamba mnahangaikia yasiyowahusu? Mbona hupendezi tuweke poll ya kura ya maoni kati wanaotaka uranium ichimbwe au iachwe?

Nawashangaa sana....slaa ndo mgombea ajae mtake mctake
 
vipi mbona hukumshauri hivo eddo hadi sasa kapagawa had anaumwa kiharusi
What has Eddo had to do with CCM?, hivi hukujua kuwa Secretariati ya CCM ilivunjwa, Makamba akaondoka?. Jee unajua ni kina nani walienguliwa kwenye CC na ni kina nani walirejeshwa?.
 
hivi kuendekeza kuwagombanisha chadema mtapata faida gani,? Jaman ogopeni sana Mungu dhambi sio tu kuzini na kulewa sjui mtenda jibu nini mbele ya hukumu


Oh my RIBS

Ha ha ha ha dhambi kwa kusemwa Dr slaa tu, ha ha ha doh hii Kali Mkuki kwa nguruwe I'm kind loving the Swahili phrase!

JK Kila siku anatukanwa humu Leo ndio kugombanishwa chadema una Kumbuka mungu na dhambi basi dhambi zipo kwa kila msema uongo, Mzushaji maneno , mwongo,Mzinifu na wengineo wengi!

Ila tatizo letu nikudhani kua Dr Slaa anauwezo Wa kua Rais pekeyake badala ya kuanza kutafuta Mtu mbadala sasa unaweza ukawa Mkosoaji Mzuri lakini haimaanishi unaweza kua KiongoZi kitu ambacho Sikioni kwa Dr slaa...


Najua ni Mjadala mpana sana kumlazimisha mtu Panya awe Simba! Especially at this Era of Selfishness driven comments and political fanatics!
 
Back
Top Bottom