Kura ya Maoni: Thread ya Magufuli Singida V/S Lowassa Pemba

Kura ya Maoni: Thread ya Magufuli Singida V/S Lowassa Pemba

Manjagata

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
16,540
Reaction score
18,644
Huu ni mchuano wa wazi kati ya wawili hawa katika kupima yupi anafuatiliwa zaidi ya mwenzake. Ka-thread ka Magufuli akiwa Singida mpaka sasa hivi kametembelewa na watazamaji elfu moja na usheee, wakati ile ya Lowassa akiwa Pemba imetembelewa na watazamaji zaidi ya elfu 14 na usheee!! Hii kama ingekuwa kura ya maoni kwa mtazam,o wangu Lowassa yuko kwenye kiwango cha heavy weight, wakati Magufuli yuko katika feather weight. Huku ni kumnyanyapaa huyu bwana hatauweza huu mchuano!! Mimi ningekuwa Magufuli ningejitoa mapema ili kuepusha fedheha hapo tarehe 25/10/2015.

Sijui wenzangu mwaonaje hii habari? Ingekuwa huku kwetu kwenye zile ngoma za "Wighashe", Lowassa angetangazwa mshindi mapemaaaaa!!! Haiwezekani wewe uwe na watazamaji elfu 1 tu wakati mwenzio ana zaidi ya elfu 14 halafu useme eti itachanganya jioni!!

LOWASSA NDO RAIS!!!
 
Kweli manake idadi ya watazamaji inaakisi mvuto uko wapi
 
Ujinga ni pale ni kudhani kila mtanzania anaingiaga JF hadi Mama yangu niliyemununulia techno ya tochi juzi nilipoenda kijijini
 
Huu ni mchuano wa wazi kati ya wawili hawa katika kupima yupi anafuatiliwa zaidi ya mwenzake. Ka-thread ka Magufuli akiwa Singida mpaka sasa hivi kametembelewa na watazamaji elfu moja na usheee, wakati ile ya Lowassa akiwa Pemba imetembelewa na watazamaji zaidi ya elfu 14 na usheee!! Hii kama ingekuwa kura ya maoni kwa mtazam,o wangu Lowassa yuko kwenye kiwango cha heavy weight, wakati Magufuli yuko katika feather weight. Huku ni kumnyanyapaa huyu bwana hatauweza huu mchuano!! Mimi ningekuwa Magufuli ningejitoa mapema ili kuepusha fedheha hapo tarehe 25/10/2015.

Sijui wenzangu mwaonaje hii habari? Ingekuwa huku kwetu kwenye zile ngoma za "Wighashe", Lowassa angetangazwa mshindi mapemaaaaa!!! Haiwezekani wewe uwe na watazamaji elfu 1 tu wakati mwenzio ana zaidi ya elfu 14 halafu useme eti itachanganya jioni!!

LOWASSA NDO RAIS!!![/QUOTE

Jifarijini tu!
Huu ndio utafiti wenu!
Ngoja tuwape tena TWAWEZA na synovate muone kama kujitekenya nako ni dili!
 
Hili jambo linabishwa na LUMUMBA pekee, tena wanabisha wakija public ila wakiwa huko kwenye korido za maofc yao wanajua kabisa kiama kinawangukia.
 
magufuli linamfariji goli la mkono ambalo ndio plan yao
 
Wa tz tuta hakikisha lowassa kaingia ikulu
 
Ujinga ni pale ni kudhani kila mtanzania anaingiaga JF hadi Mama yangu niliyemununulia techno ya tochi juzi nilipoenda kijijini

Hata Twaweza Na Slovan walitumia mbinu hii ya simu kuja Na matokeo ya utafiti wao! Mbona mlikenua meno kwa kuushangilia, kama unajua kijijini watu hawajua kutumia simu? Uwe mnajiuliza kabla ya kukurupuka kuandika!
 
Leo Channel Ten wamehujumu hawajaonesha Lowasa akiwa Zanzibar wameonesha ya jana, huku Magufuli wakionesha ya Singida
 
Back
Top Bottom