KURA HURU: Mgombea yupi ungetamani awe Rais wa Tanzania 2025 - 2035

KURA HURU: Mgombea yupi ungetamani awe Rais wa Tanzania 2025 - 2035

Kama Uchaguzi ungefanyika leo, ungempigia Kura Mgombe yupi kati ya hawa?

  • Salum Mwalimu (CHAUMMA)

    Votes: 0 0.0%
  • Freeman Mbowe (CHADEMA)

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    45
  • Poll closed .

Mtoa Taarifa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2024
Posts
230
Reaction score
791
ANGALIZO: Kura hizi ni Huru na hazihusishi Mchakato wa Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 nchini Tanzania.

Hivyo Wagombea wanaowekwa hapa wengine hawajatangaza nia wazi kuwa watashiriki na wengine wapo katika mchakato. Wewe kama mchangiaji huru piga Kura yako kuchagua Rais unayemtaka.
 
"Uchochezi" In mwashamba tone.
 
Hata iweje mm najua hizo ndo Kura Rasmi za Watanzania Kiuhalisia
 
ANGALIZO: Kura hizi ni Huru na hazihusishi Mchakato wa Uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 nchini Tanzania.

Hivyo Wagombea wanaowekwa hapa wengine hawajatangaza nia wazi kuwa watashiriki na wengine wapo katika mchakato. Wewe kama mchangiaji huru piga Kura yako kuchagua Rais unayemtaka.
Rekebisha hapo chini Ni Dr.Emmanuel John Nchimbi. na Sio Dr. John Nchimbi.
 
Hivi hii nchi huwa haina watu wapya?

Kila siku majuso ni yale yale tu, nchimbi, wasira, mwigulu, nape, makamba!!! The same faces for all the eternity!

Hakuna watu wengine??
 
Back
Top Bottom