Expedito Mduda
JF-Expert Member
- Sep 22, 2009
- 522
- 240
Kweli watz bado sana. Hivi ni kweli mtu kama huyu naye anajihesabu kwamba katoa hoja. Hotuba ya wenje haina shida yoyote. Shida iliyopo ni uelewa wa wana_cuf ni mdogo mno kiasi wanashindwa kutafsiri mambo katika uhalisia wake