Kupwaya kwa uongozi wa CHADEMA

Kupwaya kwa uongozi wa CHADEMA

Mimi ni mpenda mageuzi. Kuna muda niliamini kwa nguvu kabisa kuwa uongozi wa Chadema unaweza kufanya kazi nzuri ya kukiongoza chama hadi kuchukua nchi na kuleta mabadiliko tunayoyataka. Lakini kadri siku zinavokwenda ndiyo nagundua udhaifu wa uongozi wa Chadema.
Leo bungeni imesomwa hotuba ya ovyo kabisa toka Chadema na kuleta mtafaruku mkubwa bungeni. Humo bungeni walialikwa wanafunzi wa vyuo na kushuhudia Wenje akisoma hotuba ya kijinga kabisa ambayo haina tija kwa Taifa letu wala kwao.Unaongelea maneno ya kuudhi kama ushoga kukilinganisha kikubwa kama CUF unategemea nini? Wana CUF na wengineo watakupenda kweli? What was the strategy kuleta upuuzi ule? Kama Dr. Slaa ndio umakini wake umeishia pale basi ujue nchi hii itaongozwa na CCM milele, mark my words. Kwani najua Dr. Slaa kama Katibu Mkuu aliipitia hotuba ile na kuipa baraka zake. The same goes with Mbowe. Haiwezi kusomwa hotuba bungeni bila ya wao kuipitia. Na kama hawakuipitia then hawafai. Na kama wameipitia na kuipa baraka zao basi pia hawafai.Mkiwa na viongozi kama Wenje ambao mnataka siku moja waongoze nchi, then you have another think coming.
Wake up,Slaa and Mbowe: Chadema kinaondoka! Tafuteni watu makini kwenye nafasi za uongozi ili muendelee. Chadema hakipendwi kwa sababu ni chama makini, bali kwa sababu watu wameichoka sana CCM, lakini CCM ni makini zaidi na wana mikakati mikubwa kuliko Chadema kwa mbali sana. We angalia hotuba za CCM bungeni uje ulinganishe na za Wenje na mambo ya ushoga wapi na wapi. As Prof. Muhongo said the other time hotuba za upinzani zinatakiwa zije na alternative solutions kwa matatizo ya taifa letu lakini si kuja na porojo tu zisizo na hoja yoyote. Soon the people will see thru Chadema and call your bluff. We need a strong and competent opposition!

e bwana ee:Kasheshe, ZeMarcopolo, mwanafyale and 1 others like this. ha ha ha ha.....
 
kidogo kuna mantiki tunataka chama ambacho kitajijenga kwa kutoa hoja ya malengo yake kiasi kwamba hata mwanachama wa chama kingine aone siku ya kupiga kura kuwa hawa watatupeleka mbele kwa hoja zao na awapigie kura.
hoja ya leo bungeni ni uchambuzi wenye lengo la kupaka matope na hakuna chama kinachoweza kuvumilia kupakwa matope mbele ya umma kinyamaze. kwa mda mrefu vyama vyetu vinapenda kujinadi kwa kusema fulani anashirikiana na fulani kitu ambacho si hoja ya chama kingine kupigia kampeni.

tuko na matatizo mengi hivyo tunataka chama kitakachojikita katika kutuambia kitatatuaje matatizo yanayotukabili. kejeli kama hizi hazikijengi chama bali zinakibomoa maana ukiitamka wasiofikiri watashangilia hapohapo, lakini wanaofikiri ambao ndio wengi watakaa kimya ila watakudharau mwisho wa siku utakuja kujiuliza mbona nilikuwa nashangiliwa lakini nimeanguka.

jengeni chama kwa kuweka mikakati ya kubuni sera za kukomboa watanzania na hizo ndizo mzinadi hadharani achaneni na sera za kujiimarisha kwa kushambulia vyama vingine. weka mikakati mtangaze sera zenu wakati wote mfano sera za kupambana na mafisadi sio lazima mtaje watu lakini muwaahidi wananchi mkipewa nchi mtafanya nini kwa mafisadi na nini matokeo yake kwa wananchi, waelezeni watu sera yenye mvuto ya kufuta kodi kwenye vifaa vya ujenzi na mnasema wazi tunaitaka serikali iliyoko madarakani ifute kodi hiyo na sisi tukiingia tutafuta ili kama chama tawala kitaamua kuchukua hiyo sera sio ninyi kupinga bali itakuwa vema na wananchi watajua chama fulani ndio kimetukomboa.

yapo mengi ya kujikita nayo ambayo yatawashawishi watanzania walio wengi kuwaunga mkono maana mtakuwa mmewagusa. jiulize hii hoja ya CUF na ushoga itawaongezea wafuasi kiasi gani. busara inahitajika kujiepusha na mtizamo wa vurugu mbele ya wananchi. wekeni dira ya jinsi gani mnataka kushawishi watanzania wawakubali alafu ndio mtafute hoja kupitia hiyo dira yenu kwa kuangalia dira itakayowafanya mshangiliwe majukwaani na siku ya kupiga kura muonekane mashujaa. tafadhali tafuteni mbinu ya kukua kwa haraka maana maisha yenyewe haya mafupi tunataka mabadiliko wakati wetu ili maisha yetu yaboreke tukiwa bado na nguvu zetu
Ungewaunga mkono na uccm wako CHADEMA wangepaswa kujitafakari
 
Mbowe ameshindwa kusimamia wabunge wa chama chake. Ameshindwa kuongoza kambi ya upinzani Bungeni.
 
Mimi ni mpenda mageuzi. Kuna muda niliamini kwa nguvu kabisa kuwa uongozi wa Chadema unaweza kufanya kazi nzuri ya kukiongoza chama hadi kuchukua nchi na kuleta mabadiliko tunayoyataka. Lakini kadri siku zinavokwenda ndiyo nagundua udhaifu wa uongozi wa Chadema.
Leo bungeni imesomwa hotuba ya ovyo kabisa toka Chadema na kuleta mtafaruku mkubwa bungeni. Humo bungeni walialikwa wanafunzi wa vyuo na kushuhudia Wenje akisoma hotuba ya kijinga kabisa ambayo haina tija kwa Taifa letu wala kwao.Unaongelea maneno ya kuudhi kama ushoga kukilinganisha kikubwa kama CUF unategemea nini? Wana CUF na wengineo watakupenda kweli? What was the strategy kuleta upuuzi ule? Kama Dr. Slaa ndio umakini wake umeishia pale basi ujue nchi hii itaongozwa na CCM milele, mark my words. Kwani najua Dr. Slaa kama Katibu Mkuu aliipitia hotuba ile na kuipa baraka zake. The same goes with Mbowe. Haiwezi kusomwa hotuba bungeni bila ya wao kuipitia. Na kama hawakuipitia then hawafai. Na kama wameipitia na kuipa baraka zao basi pia hawafai.Mkiwa na viongozi kama Wenje ambao mnataka siku moja waongoze nchi, then you have another think coming.
Wake up,Slaa and Mbowe: Chadema kinaondoka! Tafuteni watu makini kwenye nafasi za uongozi ili muendelee. Chadema hakipendwi kwa sababu ni chama makini, bali kwa sababu watu wameichoka sana CCM, lakini CCM ni makini zaidi na wana mikakati mikubwa kuliko Chadema kwa mbali sana. We angalia hotuba za CCM bungeni uje ulinganishe na za Wenje na mambo ya ushoga wapi na wapi. As Prof. Muhongo said the other time hotuba za upinzani zinatakiwa zije na alternative solutions kwa matatizo ya taifa letu lakini si kuja na porojo tu zisizo na hoja yoyote. Soon the people will see thru Chadema and call your bluff. We need a strong and competent opposition!

Umelipwa shilingi ngapi?
 
Mimi ni mpenda mageuzi. Kuna muda niliamini kwa nguvu kabisa kuwa uongozi wa Chadema unaweza kufanya kazi nzuri ya kukiongoza chama hadi kuchukua nchi na kuleta mabadiliko tunayoyataka. Lakini kadri siku zinavokwenda ndiyo nagundua udhaifu wa uongozi wa Chadema.
Leo bungeni imesomwa hotuba ya ovyo kabisa toka Chadema na kuleta mtafaruku mkubwa bungeni. Humo bungeni walialikwa wanafunzi wa vyuo na kushuhudia Wenje akisoma hotuba ya kijinga kabisa ambayo haina tija kwa Taifa letu wala kwao.Unaongelea maneno ya kuudhi kama ushoga kukilinganisha kikubwa kama CUF unategemea nini? Wana CUF na wengineo watakupenda kweli? What was the strategy kuleta upuuzi ule? Kama Dr. Slaa ndio umakini wake umeishia pale basi ujue nchi hii itaongozwa na CCM milele, mark my words. Kwani najua Dr. Slaa kama Katibu Mkuu aliipitia hotuba ile na kuipa baraka zake. The same goes with Mbowe. Haiwezi kusomwa hotuba bungeni bila ya wao kuipitia. Na kama hawakuipitia then hawafai. Na kama wameipitia na kuipa baraka zao basi pia hawafai.Mkiwa na viongozi kama Wenje ambao mnataka siku moja waongoze nchi, then you have another think coming.
Wake up,Slaa and Mbowe: Chadema kinaondoka! Tafuteni watu makini kwenye nafasi za uongozi ili muendelee. Chadema hakipendwi kwa sababu ni chama makini, bali kwa sababu watu wameichoka sana CCM, lakini CCM ni makini zaidi na wana mikakati mikubwa kuliko Chadema kwa mbali sana. We angalia hotuba za CCM bungeni uje ulinganishe na za Wenje na mambo ya ushoga wapi na wapi. As Prof. Muhongo said the other time hotuba za upinzani zinatakiwa zije na alternative solutions kwa matatizo ya taifa letu lakini si kuja na porojo tu zisizo na hoja yoyote. Soon the people will see thru Chadema and call your bluff. We need a strong and competent opposition!
....maiferedi ..kama lina mbigiri watakuletearubrikanti....
 
Hivi CUF si mke wa CCM? Huu mrengo wa CUF ni mbaya kwa sera zake kutokana na mrengo wake?
 
Msimshangae, hao ndo watanzania wenyewe, unafikiri kwa ujinga huu wa ccm bado wangeendelea kutawala kama wasingekuwa na mtaji wa majuha kama muanzisha mada. safari bado ni ndefu na yenye misukosuko kwa wanaofikiri kwa makengeza. mungu tuokoe
Mimi niko tofauti sana na mtu kama wewe kwa sababu wewe unafikiria kwa ushabiki wa Chadema wakati mimi nafikiria mbali zaidi kiuchambuzi. So while your reasoning is impaired with ushabiki mimi nina clear reasoning nikiangalia mstakabali wa nchi. Huwezi kuwa na hoja ndogo ndogo na za kipuuzi kama za ushoga na ukazileta bungeni ukiamini sisi tutakuunga mkono kwa sababu tunakupenda sana. NO! Ila watakuwepo wengi kama wewe ambao watashabikia tu na kushangilia wakati wengine tuna macho na uwezo wa kusema mfalme kakaa uchi!
 
Tatizo watanzania ni wepesi wa kubwabwaja tu, ukimwambia soma hata ukurasa mmoja hasomi, kwa mtu aliyemakini akisoma alichokiandika wenje hakuna tusi pale, Wenje amelezea milengo ya vyama mbalimbali duniani na vyama marafiki

Nimegundua watu wengi wanafeli mitihani kwa sababu ya kukurupuka kujibu bila kutafakali kwa kina

lengo ni nini? kuleta maji? au???

then tukijua so what??????????????????????????????????
 
jana ccm walifurahi sana, pale kuku mnapopigana ha ha haaaa! mtaisoma ikulu na kukaribishwa chai tu

cdm bado sana
 
wakati mwingine ukweli unauma ila wakati mwingine ukweli ni dawa KWANZA REKEBISHA HEADING YAKO USIPENDE SANA KUGENERALIZE OR TO MAKE NEGATIVE COMPARATIVE ANALYSIS KWENYE MAMBO YASIO ENDANA.
 
Kwani kazi ya Chadema ni kuelezea mirengo mbali mbali na vyama vingine? Hawakuulizwa hilo. Na kama wangetaka porojo wangeelezea itikadi yao
Kwa nini unaamini kama huo ndio uwezo wa CDM basi hii nchi itaongozwa na CCM milele, wakati hapo hapo unakitaja CUF kuwa chama kikubwa? Kwa nini basi usiamini kwamba kama nchi haitachukuliwa kutoka CCM na chama dhaifu CDM, then itachukuliwa na chama kikubwa CUF? Au hata NCCR, TLP nk?
 
mi sioni tatizo linatoka wapi kwan kama mfatiliaji wa mambo utagundua kuwa hoja ya chadema si kusema ushoga ila ni kuwaonyesha watanzania mrengo wa vyama vyao na watu gan wanavipa msaada na inatokana cuf kdai kunachama kinapata msaada toka mataifa ya magharib kwa dhumuni la kuja kufaidka na ges ya mtwara cha hcho kikishika dola ila cuf wnyewe wamejishtukia na kupaniki
 
mi sioni tatizo linatoka wapi kwan kama mfatiliaji wa mambo utagundua kuwa hoja ya chadema si kusema ushoga ila ni kuwaonyesha watanzania mrengo wa vyama vyao na watu gan wanavipa msaada na inatokana cuf kdai kunachama kinapata msaada toka mataifa ya magharib kwa dhumuni la kuja kufaidka na ges
ya mtwara cha hcho kikishika dola ila cuf wnyewe
wamejishtukia na kupaniki
Aliyeongea mambo ya kushika dola na gesi si cuf bali ni Nape
 
Mimi ni mpenda mageuzi. Kuna muda niliamini kwa nguvu kabisa kuwa uongozi wa Chadema unaweza kufanya kazi nzuri ya kukiongoza chama hadi kuchukua nchi na kuleta mabadiliko tunayoyataka. Lakini kadri siku zinavokwenda ndiyo nagundua udhaifu wa uongozi wa Chadema.
Leo bungeni imesomwa hotuba ya ovyo kabisa toka Chadema na kuleta mtafaruku mkubwa bungeni. Humo bungeni walialikwa wanafunzi wa vyuo na kushuhudia Wenje akisoma hotuba ya kijinga kabisa ambayo haina tija kwa Taifa letu wala kwao.Unaongelea maneno ya kuudhi kama ushoga kukilinganisha kikubwa kama CUF unategemea nini? Wana CUF na wengineo watakupenda kweli? What was the strategy kuleta upuuzi ule? Kama Dr. Slaa ndio umakini wake umeishia pale basi ujue nchi hii itaongozwa na CCM milele, mark my words. Kwani najua Dr. Slaa kama Katibu Mkuu aliipitia hotuba ile na kuipa baraka zake. The same goes with Mbowe. Haiwezi kusomwa hotuba bungeni bila ya wao kuipitia. Na kama hawakuipitia then hawafai. Na kama wameipitia na kuipa baraka zao basi pia hawafai.Mkiwa na viongozi kama Wenje ambao mnataka siku moja waongoze nchi, then you have another think coming.
Wake up,Slaa and Mbowe: Chadema kinaondoka! Tafuteni watu makini kwenye nafasi za uongozi ili muendelee. Chadema hakipendwi kwa sababu ni chama makini, bali kwa sababu watu wameichoka sana CCM, lakini CCM ni makini zaidi na wana mikakati mikubwa kuliko Chadema kwa mbali sana. We angalia hotuba za CCM bungeni uje ulinganishe na za Wenje na mambo ya ushoga wapi na wapi. As Prof. Muhongo said the other time hotuba za upinzani zinatakiwa zije na alternative solutions kwa matatizo ya taifa letu lakini si kuja na porojo tu zisizo na hoja yoyote. Soon the people will see thru Chadema and call your bluff. We need a strong and competent opposition!
Mkuu umeisoma ile hotuba au umekurupuka tu hapa kuja kutoa mapovu?
Hakuna mahali popote pale ambapo Wenje amekosea.
Wenje amesema Facts tena kwa kutoa na ushahidi.

Ilikuwa ni busara kwa CUF kuja kuipinga hotuba ya Wenje kwa hoja tena zenye uzito na sio kwa jazba, Matusi, Fujo nk.

CHADEMA ndio chama makini sana kwa sasa hapa Tanzania, viongozi na wanachama wao ndio watu makini zaidi kwenye siasa kwa sasa.

Please go and read first!!!
 
Hiyo mirengo aliyoitaja wenje kwenye hotuba yake inatusaidia nini sisi kama Watanzania? kama siyo kuendleza upumbavu wa kujadili watu badala ya issues.............
Mkuu wewe bado ni mchanga sana kisiasa.
Mrengo wa Chama ndio 'imani' ya chama, hapo ndipo chama kinaanzia.
Usiwe kama bendera kufuata upepo, lazima ujue chama unachokifuata kinafuata Mrengo upi.

CUF wanafuata mrengo wa Kiliberali, mrengo ambao unatetea haki za mashoga, usagaji na ndoa za jinsia moja duniani.
Sasa kazi kwako kuamua kuufuata ama la!!!
Ila karibu sana CUF
 
Je hoja ya wenje inafaida gani kwa matatizo ya watz inasaidia nini kuondoa kelo za watz.. Lakini pia tusitete ujinga wa wenji hivi nani anaushaidi aweke hapa ni lini kiongozi yoyote wa cuf kawahi tamka au kusimama mbele ya watu kusema kuwa cuf inatetea ushoga usagaji..
Mbona hamsemi kuwa chadema ndio inawabunge mashoga ,wasaganyi mnalikwepa hili mnaanza wapakazia cuf sasa ... Angalie chadema linaelekea kuwageuka hili mana ninyi ndo wasagaji mashoga wabunge wenu
 
Mimi ni mpenda mageuzi. Kuna muda niliamini kwa nguvu kabisa kuwa uongozi wa Chadema unaweza kufanya kazi nzuri ya kukiongoza chama hadi kuchukua nchi na kuleta mabadiliko tunayoyataka. Lakini kadri siku zinavokwenda ndiyo nagundua udhaifu wa uongozi wa Chadema.
Leo bungeni imesomwa hotuba ya ovyo kabisa toka Chadema na kuleta mtafaruku mkubwa bungeni. Humo bungeni walialikwa wanafunzi wa vyuo na kushuhudia Wenje akisoma hotuba ya kijinga kabisa ambayo haina tija kwa Taifa letu wala kwao.Unaongelea maneno ya kuudhi kama ushoga kukilinganisha kikubwa kama CUF unategemea nini? Wana CUF na wengineo watakupenda kweli? What was the strategy kuleta upuuzi ule? Kama Dr. Slaa ndio umakini wake umeishia pale basi ujue nchi hii itaongozwa na CCM milele, mark my words. Kwani najua Dr. Slaa kama Katibu Mkuu aliipitia hotuba ile na kuipa baraka zake. The same goes with Mbowe. Haiwezi kusomwa hotuba bungeni bila ya wao kuipitia. Na kama hawakuipitia then hawafai. Na kama wameipitia na kuipa baraka zao basi pia hawafai.Mkiwa na viongozi kama Wenje ambao mnataka siku moja waongoze nchi, then you have another think coming.
Wake up,Slaa and Mbowe: Chadema kinaondoka! Tafuteni watu makini kwenye nafasi za uongozi ili muendelee. Chadema hakipendwi kwa sababu ni chama makini, bali kwa sababu watu wameichoka sana CCM, lakini CCM ni makini zaidi na wana mikakati mikubwa kuliko Chadema kwa mbali sana. We angalia hotuba za CCM bungeni uje ulinganishe na za Wenje na mambo ya ushoga wapi na wapi. As Prof. Muhongo said the other time hotuba za upinzani zinatakiwa zije na alternative solutions kwa matatizo ya taifa letu lakini si kuja na porojo tu zisizo na hoja yoyote. Soon the people will see thru Chadema and call your bluff. We need a strong and competent opposition!
Sawa Mkuu kijana wa Lumumba umeeleweka, kwani kuna tatizo gani ukweli ukisemwa si bora Watanzania wajue mapema wanashugulika na vyama gani!!!!!
Kwani kosa la Wenje nini kusema ukweli, hiyo si sababu ya kusema eti CHADEMA haina uongozi makini, ukirusha madongo na wewe tegemea madongo!!!!

 
Mkuu umeisoma ile hotuba au umekurupuka tu hapa kuja kutoa mapovu?
Hakuna mahali popote pale ambapo Wenje amekosea.
Wenje amesema Facts tena kwa kutoa na ushahidi.

Ilikuwa ni busara kwa CUF kuja kuipinga hotuba ya Wenje kwa hoja tena zenye uzito na sio kwa jazba, Matusi, Fujo nk.

CHADEMA ndio chama makini sana kwa sasa hapa Tanzania, viongozi na wanachama wao ndio watu makini zaidi kwenye siasa kwa sasa.

Please go and read first!!!


Ndugu zangu not all FACTS are useful at all occassions. Why do you have to mention 'ushoga, usagaji etc' in relation to a party and in Parliament? What did Wenje intend to achieve? When you read through that section of the speeche you can see that Wenje had malicious and sadistic intentions because even those words: "ndoa za jinsia moja, ushoga, uagaji' in the text are bolded !!! Why did he not bold the other attributes he mentioned relating to the other parties? This is very childish and foolish for an MP and much so for a party that is aspiring to lead a government. A serious MP should avoid unnecessary comfrontations and come up with issues that are of critical significance to the country, and not such cheap slurs. Why do we not see such disgraceful behaviour and attitude coming from Zitto, Mnyika, Mdee, Arfi, etc? You cannot go to Ikulu tramping on people and creating enemies along the way. And when he was required to apologise by the Bunge committee, why not do so even if he still thinks he was 'right'? Why not respect that Bunge organ? Such arrogance will eventually destroy cdm.

However it is no surprise to me that Wenje came up with that ----. Isnt he who sometime ago in a public rally came up with names of the 'incoming' cdm cabinet ministers? I at that moment put him in the category of immature, ignorant politicians.

Coming back to the heading of this thread, i do agree that there is a growing weakness in cdm leadership especially when it comes to reigning in their errant MPs. I had expected that Mbowe or Slaa would reprimand such MPs and encourage respect and seriousness. Other wise, Tanzanians are no fools and no one would want to be led by such disrespectful, indisciplined, immature and slothful personalities. And all the effort and time and money that has gone into building cdm will go puff come 2015.

My two cents worth..
 
Je hoja ya wenje inafaida gani kwa matatizo ya watz inasaidia nini kuondoa kelo za watz.. Lakini pia tusitete ujinga wa wenji hivi nani anaushaidi aweke hapa ni lini kiongozi yoyote wa cuf kawahi tamka au kusimama mbele ya watu kusema kuwa cuf inatetea ushoga usagaji..
Mbona hamsemi kuwa chadema ndio inawabunge mashoga ,wasaganyi mnalikwepa hili mnaanza wapakazia cuf sasa ... Angalie chadema linaelekea kuwageuka hili mana ninyi ndo wasagaji mashoga wabunge wenu

Mara nyingi Ukweli Unauma! Kumbuka hoja iliyopo ni ya Wizara ya Mambo za Nje, inayohusika na mahusiano na nchi za nje. Unaposema inasaidia nini kuondoa kero za watanzania unadhihirisha kutojua kinachoendelea. Soma vizuri hotuba ya Wenje kisha utoe hoja. Jazba inafumba macho na akili pia. Tafakari kabla ya kuchukua hatua!
 
Back
Top Bottom