Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,153
Mapdre wakikatoliki wameombwa kupewa kibali cha kuoa baad ya matatizo yaliotokea
huko nyumba kuhusu watoto.wakiongea kwa nyakati ttofauti wameomba uongozi wa kania katoliki kushirikiana na papa pope waokoe maisha ya watu hawa kwa kuwaruhusu kuoa
Tatizo lililotokea si tamaa wale ni binadamu na unajua kuna wengine wameenda kwa sababu ya shidaso wabajua wakingia wanakula kuku na manyama ya bure na ukitoka zaidi maisha yanakuwa bomba sasa inafika wakati ana hamu kama mwanaume nini cha kufanya anaona wale vitoweo wa karibu ndio salale yao na hivyo kubeba dhambi wasizoziweza
Askofu Pengo tunaomba wazo hili mliwakilishe kwa papa kabla ya mapdre awajavua nguo madhabahuni kukidhi hamu zao.......
Naomba tusiwalaumu sana waseja wale hakuna sehemu kwenye biblia imeandikwa mtumishi wa mungu lazima uwe mwenyewe ndio utumikie vyema huu ni uharamia wa somalia auuna budi kupigwa vita..ndio maana kama mnajua vyema msiimbazi pata habari zake uone masister wanavyolambwa na wakuubwa mapadre zao huku wakiwapiga mikwara kutotoa mzigo nje
Polen wakatoliki kwa kashfa hizi tuko nanyi pamoja
huko nyumba kuhusu watoto.wakiongea kwa nyakati ttofauti wameomba uongozi wa kania katoliki kushirikiana na papa pope waokoe maisha ya watu hawa kwa kuwaruhusu kuoa
Tatizo lililotokea si tamaa wale ni binadamu na unajua kuna wengine wameenda kwa sababu ya shidaso wabajua wakingia wanakula kuku na manyama ya bure na ukitoka zaidi maisha yanakuwa bomba sasa inafika wakati ana hamu kama mwanaume nini cha kufanya anaona wale vitoweo wa karibu ndio salale yao na hivyo kubeba dhambi wasizoziweza
Askofu Pengo tunaomba wazo hili mliwakilishe kwa papa kabla ya mapdre awajavua nguo madhabahuni kukidhi hamu zao.......
Naomba tusiwalaumu sana waseja wale hakuna sehemu kwenye biblia imeandikwa mtumishi wa mungu lazima uwe mwenyewe ndio utumikie vyema huu ni uharamia wa somalia auuna budi kupigwa vita..ndio maana kama mnajua vyema msiimbazi pata habari zake uone masister wanavyolambwa na wakuubwa mapadre zao huku wakiwapiga mikwara kutotoa mzigo nje
Polen wakatoliki kwa kashfa hizi tuko nanyi pamoja