Kwanini Mapadre na Masista wa Kanisa Katoliki hawaoi/hawaolewi?

Jumong S

JF-Expert Member
Jul 3, 2013
7,312
10,492
...Katika taasisi imara na tajiri duniani ni kanisa Katoliki. Kanisa hili tajiri na linaloutumia utajiri wake kuifaidia jamii (sio wachungaji wake tu), ina wachungaji wasomi sana na wanasayansi wakubwa. Ndilo kanisa lenye wachungaji wasomi kuliko makanisa yote, mfano Mapadre huweza kusoma miaka mpaka 8-12 baada ya form six achilia mbali wanaoongeza specilizations mf utabibu, engineering, sheria nk.

Mapadre ni washauri wazuri wa mambo ya ndoa na hutoa mahubiri mazuri wakati wa ndoa. Hutumiwa sana ktk kuzijenga ndoa zinazotetereka (refer wimbo wa Baba Paroko).

Leo napenda kuuliza, maswali yafuatayo;
1. Kwa nini watawa na mapadre wake hawaruhusiwi kuoa?
2. Moja ya factor ya kuwa padre ni kuwa rijali (dume la mbegu), je, wachungaji hawa hufanikiwaje kujizuia dhidi ya hitaji muhimu (basic human need) la kujamiiana?
3. Kama ilivyo kwa mapadre, watawa nao hujidhibitije juu ya kujamiiana?
4. Nini adhabu ya mtawa/mchungaji anapokiuka kiapo chake cha useja? (celibacy)
5. Kwa nini wachungaji wake wasihasiwe ili kuzuia kuanguka ktk dhambi ya uzinzi?
6. Lini kifungo hiki kitakatwa ili mapdre waoe, au masista waolewe?
7. Unatoa maoni gani, watumishi hawa waruhusiwe ndoa kama walivyo watumishi wa makanisa mengine?
8. Unatoa maoni gani, je, jamii hii inauishi uharisia wa kiapo chao?
romantic-south-african-black-girls-wedding.jpg
black-romantic-couple1.jpg
images%20(1).jpg


Nawakaribisha Maaskofu, monsinyori, mapadre, mashemasi, mafrateli, maburuda, watawa, makatekista, wanovisi, ministranti, makleri, waamini nk mje hapa jukwaani mtoe darasa mpaka hata mimi mkristo nisiye na kanisa nielewe vzr.

NB: Lengo la mada hii ni kujifunza na kukuza miito kwa vijana wanaotaka kujiunga na timu hii ya waseja!!


agu.jpg
7eb44cdc0fe78a690cb3a201be329cf5.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafahamu, ila nataka kujifunza juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume!

Sent using Jamii Forums mobile app
ok unania kumbe basi ni vyema ukaenda parokiani ukaenda kupata kujua wito wa utawa ukoje, ila kwa juu juu ni kuwa paulo alisema ni vyema kuwa peke yako ili kupata muda mwingi wa kumtumikia Mungu ila ka huwezi bora uoe/uolewe kuliko kuwaka tamaa, so wale wameamua kuwa vile ili wapata huo muda ila kanisa ndo limeweka hayo kwa wale wawezao tuu so ka unadhani unaweza unakaribishwa, ila sababu za kina zaidi nenda parokiania ama kwenye mashirika husika ya utume
 
ok unania kumbe basi ni vyema ukaenda parokiani ukaenda kupata kujua wito wa utawa ukoje, ila kwa juu juu ni kuwa paulo alisema ni vyema kuwa peke yako ili kupata muda mwingi wa kumtumikia Mungu ila ka huwezi bora uoe/uolewe kuliko kuwaka tamaa, so wale wameamua kuwa vile ili wapata huo muda ila kanisa ndo limeweka hayo kwa wale wawezao tuu so ka unadhani unaweza unakaribishwa, ila sababu za kina zaidi nenda parokiania ama kwenye mashirika husika ya utume
Asante kwa maelezo kidogo. Sina access na parokia, so endelea na darasa hapa hapa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa huwa naona wanajenga vituo vya kulelea watoto yatima, ila vikiisha kujengwa tuu, vinajaa sekunde. Sasa sijui watoto wanatokaga wapi, au huwa wanakuwepo tayari kwa hiyo wanaandaliwa makazi. Hakika hao ulioulizia wanapiga papuchi kama kawaida na pia wale wenye papuchi zao zinatanuliwa kama kawaida, hadi vichanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa huwa naona wanajenga vituo vya kulelea watoto yatima, ila vikiisha kujengwa tuu, vinajaa sekunde. Sasa sijui watoto wanatokaga wapi, au huwa wanakuwepo tayari kwa hiyo wanaandaliwa makazi. Hakika hao ulioulizia wanapiga papuchi kama kawaida na pia wale wenye papuchi zao zinatanuliwa kama kawaida, hadi vichanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanagoma kujibu, ila kiuhalisia binadamu aliyekamilika sex is basic need, sijui wanaikwepaje!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom