Ukikimbia unashauriwa kutopumua sana hasa kwa kutumia mdomo maana kwa kufanya ivo husababisha kuchoka mapema. Hakikisha unapumua kidogo kidogo yaani unavuta pumzi nyingi afu unaanza kuitoa kidogo kidogo husaidi usichoke try to apply it
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.