Uko peke yako. Tatizo unaonjwa nje.Nimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Sasa Kama kamchoka Mumewe si aombe talaka tu asepe zake huko hamu zake ziliko!!?Chepuka tu unafikiria mumeo angekuchoka angejiuliza mara mbili mbili kuhusu kutafta taste nyingine.
Maisha ni haya haya umekichoka chakula flani unabadilisha tu
Ushahamisha hisia kwa wanaume wengine wewe,huo ndo mwisho wakoNimekaa hapa nikaona wacha nipige story na washirika wa jamii forum, hasa muda huu ambao wengi tupo maofisini na katika biashahara, ila mimi nipo napunga upepo katika mbunga moja nzuri hapa Tanzania.
Twende kwenye Hoja
Mimi ni mama wa watoto 3 na mke wa mtu, nipo ndani ya ndoa zaidi ya miaka 14, na mimi ni mwajiriwa katika NGO na nina cheo kikubwa na mwonekano wangu hauendani na miaka niliyonayo, ni kama kijana.
Kisa nachotaka kupiga story na nyie itapendeza nipate maoni ya wanawake na wanaume muwe watazamaji, hivi ni kweli wanawake wenzangu kuna wakati hamna hamu na waume zenu nikimanisha katika sita kwa sita kuna wakati unamwona mume wako kama kama kaka ako ata haushutuki.
Ndio hali ninayopitia mimi, toka kuanzia miaka 6 kama sikosei nilianza kumwona mume wangu kama kaka angu, ni kawa sina hamu nae, na asipo nianza wala ata sitakaa nimuanze, nikawa sina mzuka nae nitafanya nae tendo ila ni ile hali ya fanya maliza ondoka, na ni baba bora na anayetimiza majukumu yake kama mume.
Mpaka saa nyingine natamani kuchepuka kama msemo wa mjini ulivyo ila bado sipo tayari kumsaliti mume wangu hakuna baya alilonifanyia, ilani hali tu iyo nayopitia.
Swali ni Je wanawake wenzangu uwa mnafanyaje mnaopitia hali kama ya kwangu.
Walau hili linakuwa jibu la kueleweka. Sio kusema eti yeye peke yake anapitia mapito ya namna hiyo kwenye ndoa.
- Kama tatizo limekupata ukiwa kwenye range ya miaka 40 - 49, ujue unahitaji msaada wa kitaalamu zaidi.
- Kama miaka yakonichini ya hiyo range basi huenda umevurugwa na kasi ya maisha.
- Kama una miaka zaidi ya 50 hiyo hali ni ya mpito na naamini wanawake wengi wafikapo huo umri hukumbana na hiyo changamoto.
Nasisi wanaume tunakumbana na hiyo changamoto ndio maana unaona hata mawaziri wadogo wanachemka na wanafunzi wa vyuo vikuu mbali mbali.
Kikubwa mwenza wako asijue especially Kama unamuogopa, maana akijua huyo mchepuko atajua hajui.
Shukrani mkuuu umeongeaa uhalisiaa...Ila comment za watuu humu ni too judgementalVery true, ni stage tu katika ndoa. Just imagine 14yrs unalala na same person kitanda kimoja, mkwaruzane, mfurahiane, lakini yupo tu..sio rahisi hisia kubaki pale pale miaka yote.
Ni kutafuta namna tu ya kutengeneza bond upya ili mrudi kwenye ile stage mliyokuwa mwanzo.
Otherwise huenda ni mabadiliko ya "tabia mwili", ndoa ya miaka 14 huenda dada yupo stages za menopause, so mwili unabadilika.
Mbona nyie Huwa hamuombi talaka mnavitembeza tuSasa Kama kamchoka Mumewe si aombe talaka tu asepe zake huko hamu zake ziliko!!?
Uzuri sisi tunakua na hamu kotekote, yaani ndani tunakua na hamu,na huko nje pia tunakua na hamu! Sasa mwenzio huko ndani hana hamu, hamu zake ziko nje!!Mbona nyie Huwa hamuombi talaka mnavitembeza tu
Mkuu imekuaje tena!??Nyuzi za hivi....utadhani wanaume wote ni waseminarikmnn zenu
Kuhusu nini ndugu yanguMkuu imekuaje tena!??
Maneno yale ya mwisho mbona makali sana!??Kuhusu nini ndugu yangu
Yapi hayo kakaManeno yale ya mwisho mbona makali sana!??
nyinyi kila mtu munamrukia na umalaya kama vile wenyewe ni malaika na wala hamuna mawazo mengine.WEWE ndani ya moyo wako ni Malaya tu unaetafuta uhalali wa kufanya umalaya wako...go ahead na hyo program Yako ya uchepukaji then usisahau kuja kutupa mrejesho..
subiri wachepukaj wenzako mostly single Maza waje kukuhalalishia uchafu unaotaka Kuanza..kiufup unataka kusikia go ahead..πππ