Kupitia mechanic engineering unaweza kujiajiri kama nani?

Kupitia mechanic engineering unaweza kujiajiri kama nani?

x - mas

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
953
Reaction score
669
habari wanajamvi! nimekuwa sina ueleewa mpana juu ya uwanja wa kujiajiri kupitia fani ya mechanic engineering zaidi najua mtu wa mechanic anaweza kujiajiri kwa kuwa fundi magari tu....je kuna kazi zingine ambazo mtu huyu anaweza kujiajiri?na kama zipo ni zipi kwa hapa Tanzania na soko lake likoje?
 
mechanic engineering zaidi najua mtu wa mechanic anaweza kujiajiri kwa kuwa fundi magari tu....?

Lazima ukubaliane na mimi kwamba hujui maana ya mechanical engineering na hujui nini maana ya mechanical engineer!!

Kazi yako ya kwanza ka google ...ingia na youtube utafute maana ya mechanical engineering na mechanical engineer!!

Kwa kifupi mechanical engineering ni kada ya uhandisi inayodeal na mitambo!! Kuanzia majumbani ...magari... Umeme and the alike!!

Kwenye ujenzi wa kisasa huwezi jenga bila kuwepo mechanical engineer!!
 
ni kweli mkuu na jua kiduchu sana ndio maana nikataka kujuzwa humu,naona mkuu umeelezea kwa kifupi sana tafadhari jaribu kuchimbua kiundani zaidi hasa ukilenga kwa mtu anayetaka jujiajiri
Lazima ukubaliane na mimi kwamba hujui maana ya mechanical engineering na hujui nini maana ya mechanical engineer!!

Kazi yako ya kwanza ka google ...ingia na youtube utafute maana ya mechanical engineering na mechanical engineer!!

Kwa kifupi mechanical engineering ni kada ya uhandisi inayodeal na mitambo!! Kuanzia majumbani ...magari... Umeme and the alike!!

Kwenye ujenzi wa kisasa huwezi jenga bila kuwepo mechanical engineer!!
 
ni kweli mkuu na jua kiduchu sana ndio maana nikataka kujuzwa humu,naona mkuu umeelezea kwa kifupi sana tafadhari jaribu kuchimbua kiundani zaidi hasa ukilenga kwa mtu anayetaka jujiajiri
Mara nyingi kazi zao ni...

1. Ujenzi. Japo hawata fanya role ya civil!

2. Lift fittings. Lift za kwenye magorofa.

3. Machine design. HII NDIO MAIN ROLE YAO!!

4. Metal and metal fubrication. Kwa kifupi ukimpa nondo akiishika tu anajua hii ni nzima au kimeo.

5. Magari na vifaa au mitambo ya moto. Kwa nchi zilizoendelea wanatumika sana kwenye ku design magari na vifaa vya moto!

6. Solar power

7. KUFITISHA Air condition AC.

Na nyingine nyingi....

Ila kusoma mechanical inabidi uwe njema kwenye phy na pure maths, uwe na kichwa makin hasa kwenye ku design na kuandaa drawings. Hii ni pure engineering field.

Mech engineering ni moja ya kozi mama za uhandisi ikiwemo civil na electrial!!
 
Mara nyingi kazi zao ni...

1. Ujenzi. Japo hawata fanya role ya civil!

2. Lift fittings. Lift za kwenye magorofa.

3. Machine design. HII NDIO MAIN ROLE YAO!!

4. Metal and metal fubrication. Kwa kifupi ukimpa nondo akiishika tu anajua hii ni nzima au kimeo.

5. Magari na vifaa au mitambo ya moto. Kwa nchi zilizoendelea wanatumika sana kwenye ku design magari na vifaa vya moto!

6. Solar power

7. KUFITISHA Air condition AC.

Na nyingine nyingi....

Ila kusoma mechanical inabidi uwe njema kwenye phy na pure maths, uwe na kichwa makin hasa kwenye ku design na kuandaa drawings. Hii ni pure engineering field.

Mech engineering ni moja ya kozi mama za uhandisi ikiwemo civil na electrial!!




maelezo mazuri ....sasa naanza kupata picha asante sana
 
Mara nyingi kazi zao ni...

1. Ujenzi. Japo hawata fanya role ya civil!

2. Lift fittings. Lift za kwenye magorofa.

3. Machine design. HII NDIO MAIN ROLE YAO!!

4. Metal and metal fubrication. Kwa kifupi ukimpa nondo akiishika tu anajua hii ni nzima au kimeo.

5. Magari na vifaa au mitambo ya moto. Kwa nchi zilizoendelea wanatumika sana kwenye ku design magari na vifaa vya moto!

6. Solar power

7. KUFITISHA Air condition AC.

Na nyingine nyingi....

Ila kusoma mechanical inabidi uwe njema kwenye phy na pure maths, uwe na kichwa makin hasa kwenye ku design na kuandaa drawings. Hii ni pure engineering field.

Mech engineering ni moja ya kozi mama za uhandisi ikiwemo civil na electrial!!
Kwenye solar umebugi!!
Electrical engineer ndiye mwenye taaluma
 
habari wanajamvi! nimekuwa sina ueleewa mpana juu ya uwanja wa kujiajiri kupitia fani ya mechanic engineering zaidi najua mtu wa mechanic anaweza kujiajiri kwa kuwa fundi magari tu....je kuna kazi zingine ambazo mtu huyu anaweza kujiajiri?na kama zipo ni zipi kwa hapa Tanzania na soko lake likoje?
Wewe utadeal na kufitisha matank ya maji taka pamoja na ku trouble shoot engine za vibajaji, na minyororo ya baiskeli.
Hata flywheel ya baiskeli shughuli itakuhusu.
Nguo zako zitakuwa na grease nyeusi nyeusi na ndio utambulisho wako.
 
Kwenye solar umebugi!!
Electrical engineer ndiye mwenye taaluma
Mkuu. Kwani mechanical hawasomi fundamentals za umeme??

Kwa taarifa yako hata civil wanasoma basics za electrial!!

Mimi nnavyojua chuo wanasoma solar vizuri kabisa!!
 
Mkuu. Kwani mechanical hawasomi fundamentals za umeme??

Kwa taarifa yako hata civil wanasoma basics za electrial!!

Mimi nnavyojua chuo wanasoma solar vizuri kabisa!!
"Mechanical" hili neno unalifahamu vizuri?
 
Huyu kijana yupo secondary bado

Mechanical engineering sio km unavyo dhabia

Soma kjn mechanical wana aaply kula kona
 
Unadhani kujiajiri lazima ujiajiri kwenye fani uliosomea. Kwamfano mimi binafsi nimesoma civil and water resources engineering ila sasa hivi nimejiajiri kama muuzaji wa spare za magari and I am doing best.
What you should know is humu kwenye kujiajiri most of the time Shule tunaweka pembeni kabisa
 
Back
Top Bottom