GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,925
- Thread starter
- #101
Kila jambo na wakati wake, wakati si ukuta, alipangalo Mungu mwanadamu ni nani hata aweze kulipangua, hakika Mungu ni Mwema,wote tumeuona mkono wake, tuzidi kumwomba wote wanaopitia aliyopita huyu mkuu, mkono wake uzidi kutugusa, Ni Katika Jina La Yesu Kristu Mwana Wa Mungu Aliye Hai.Amen
Unatarajia lini Kuanzisha / Kufungua Kanisa lako Ndugu Baba Mtumishi ili nianze kuwa ni miongoni mwa Waumini wako Waandamizi?