afande wangu swali mstari mmoja jawabu unajibu kurasa nzima.Kwani lazima? Na kwanini unaonekana Kuteseka sana na Mafanikio ya ghafla na Kuinuliwa Kimamlaka kwa Afande Charles Mbuge Ndugu? au na Wewe ndiyo wale wale mliokuwa mkinyanyasa Baba wa Watu Kipindi kile alipokuwa pale Mlalakuwa na hadi alivyohamishiwa Ruvu? Basi kwa sasa ndiyo mtamkoma na Mwenyezi Mungu anawaumbueni hapa hapa kwa Kumuinua na nyie Kubakia hapo hapo. Tubuni upesi na muanze Kujipanga Kupanga Mistari ya kwenda Kumuomba Msamaha. Mna bahati Baba wa Watu huwa hana Malipizi ( Visasi ) ila hili ' Zali ' ndiyo lingenikuta Mimi ' Maadui ' zangu wote mngenikoma na ndipo mngejua ni kwanini Wimbo wa Taifa hadi leo hauna Video na kwanini Nyoka hana Ugoko.
jamaa anaandika sana alafu mambo yenyewe kawaida sijui kwa nini ana mapenzi haya kwa bosi W sasa wa jkt.Unaeleza mambo meeengi bila point ya msingi.sio kila mtu anamjua huyo mtu wala background yake hivyo ingekua busara kama ungeweka hapa history yake watu waisome kisha waunganusge na mawaidha yako hayo.Au ww ndio huyo afande unayazungumzia yalio ujaza moyo wako???
Upuuzi mtupu..yaani mtu kupangiwa kufanya kazi sehem nyingine basi huo ni kukomoana? Je ambao wanakua kwenye hicho kituo wakifanya kazi nao walikua wanakomolewa?Mwenyezi Mungu akikupangia Jambo lako litakuwa tu hata kama kuna Watu wanakuchukia, wanakusambazia maneno mabaya, wanakuzushia, wanakuchafua na hata wengine wanaweza wakawa wanataka Kukuua kwakuwa wanakuona Wewe ni Tishio Kwao ama kwa huo muda au kwa baadae kupitia Nafasi zao ( Vyeo vyao )
Na huyu Afande nahisi Mwenyezi Mungu anazidi Kumfungulia njia za Mafanikio na Kumpa Baraka nyingi kwakuwa huwa hajui Kulipiza Kisasi bali humuachia kila Kitu Mola / Maulana. Na alivyo Muungwana kila alipokuwa akipangiwa kwenda Kufanya Kazi zake ( Kituo cha Kazi ) kama njia ya ' Kumkomoa ' ndiyo Kwanza alikuwa hakatai, anaonyesha Ushirikiano na huko atakapokuwa alikuwa akichapa Kazi hata kuliko pale alipokuwepo awali.
Maisha ya Kikazi / Kimajukumu ya Afande Charles Mbuge yawe ni Somo Kwetu hasa huko sehemu zetu za Kujipatia Riziki.
Hahah we mzee mi nishakuambia kwamba mi sio norman sigallaHata Mimi najua uko huko muda mwingi Ndugu. Vipi hakuna nafasi huko ili unipigie pande na Mimi hata niwe Muosha Magari au Mzururaji wa Majalalani Kutwa tu Ndugu? Nisalimie sana wana ' System ' wenzako hapo Ndugu. Mkeo pale Ubalozini huwa ana hisa napo au kuna Mchongo huwa anaufanya Ndugu? Dar es Salaam Kwetu huku unatutimbia lini Ndugu? Nakukubali mno Mzee wa System.
Kuna ' Mpuuzi ' Mwenzako mmoja hivi aliniuliza Swali kama hili na nikamjibu hivyo nakuomba itafute ' post ' niliyomjibu na acha Kunipotezea muda tafadhali.
Sasa hapa jukwaani limefata nini kama ni special kwa wana Mlalakuwa? Funguka tuNaongozwa na Maadili na sijawa na Akili za ' Kipa Katoka ' halafu nikaziweka hapa ila naamini wale wote waliowahi kuwa nae Afande hasa pale Mlalakuwa watakuwa wananielewa vyema tu kile ninachokimaanisha kwani ilifikia muda hadi Watu wengine walikuwa wakiona jinsi Mpiganaji huyu alivyokuwa akinyanyasika kwakuwa tu hakuwa Mnafiki, mpenda Kujipendekeza, hakuwa Muoga na alikuwa akitekekeleza vyema Majukumu yake na sishangai ndiyo maana Askari wengi wanampenda na anakubalika mno hadi sasa huyu Afande Charles Mbuge japo amepitia Mitihani mingi mno tu.
Ama kweli Mungu ni mkubwa na akilipanga lake linakuwa tu hata kama Walimwengu watalichelewesha.
Upuuzi mtupu..yaani mtu kupangiwa kufanya kazi sehem nyingine basi huo ni kukomoana? Je ambao wanakua kwenye hicho kituo wakifanya kazi nao walikua wanakomolewa?
Black People bhana
dah umu ndani tupo na wajukuu zetu kabisa ..muwe mnaamkia vijanaSisi tuna muitaga digala, op Tanzania ya kiwanda 832kj.. 203 up namba iliyopo afande
We jamaa hueleweki, hapo juu kuna comment umesema hujapita jeshini ili kwa habari ulizozisikia kutoka kwa waandamizi km watatu hivyo kyonyesha habari za huyu Afande umezisikia Tu sasa kwenye comment unayomjibu mdau hapa unasema unaongozwa na maadili na hujawa na akilj za kipa katoka, so mpk hapo huoni kama unajichanganya, ukizungumzia maadili means umo dani ya chombo na maadili unayajua ndio maana huwezi kuelezea hapa figisu alizokuwa anafanyiwa bwana Afande na hapo juu umeeleza kwva uliambiwa na watu ambao wako jeshini kama watatu means hauko kwenye chombo, ndugi yng hebu weka sawa hapa tafadhari isijekuwa no mambo ya kujifanya unajua kila jamboNaongozwa na Maadili na sijawa na Akili za ' Kipa Katoka ' halafu nikaziweka hapa ila naamini wale wote waliowahi kuwa nae Afande hasa pale Mlalakuwa watakuwa wananielewa vyema tu kile ninachokimaanisha kwani ilifikia muda hadi Watu wengine walikuwa wakiona jinsi Mpiganaji huyu alivyokuwa akinyanyasika kwakuwa tu hakuwa Mnafiki, mpenda Kujipendekeza, hakuwa Muoga na alikuwa akitekekeleza vyema Majukumu yake na sishangai ndiyo maana Askari wengi wanampenda na anakubalika mno hadi sasa huyu Afande Charles Mbuge japo amepitia Mitihani mingi mno tu.
Ama kweli Mungu ni mkubwa na akilipanga lake linakuwa tu hata kama Walimwengu watalichelewesha.
Aisee! Kwamba mtu ukimkubali wewe na Mungu anamkubali? Sawa Afande kwenye namba ndogoUkiona An Eagle namkubali Mtu tu jua ya kwamba 99% yupo vizuri na hata Mwenyezi Mungu nae pia anamkubali.
Ukidharauliwa na Mabosi wako na Wafanyakazi wenzako usiumie wala kusikitika.Ukinyanyasika na Mabosi / Wakubwa wako usihuzunike wala usikate tama.Hata kama Mabosi / Wakubwa watakuchukia Wewe tekeleza tu Majukumu yako KiufanisiUnaweza ukachukiwa na wengi ( hasa Mabosi / Wakubwa wako ) ila Mwenyezi Mungu atambariki Mtu Mmoja ambaye hukumtegemea na atakuwa ndiyo Mkombozi wako na atakuinua na kukufanya uwe Binadamu kamili katika Watu.Uvumilivu unalipa japo unaweza ukayapata hayo Malipo yako kwa Kuchelewa.Kama ipo ipo tu hata kama Mabosi / Wakubwa wako watakuwa mara kwa mara kwa Chuki zao tu wanakuandikia Ripoti mbaya.Kusali sana na Kujikabidhi kwa Mwenyezi Mungu ni jambo la muhimu mno katika Maisha ya sasa ya Mwanadamu ambayo yamejaa Chuki, Wivu, Majungu na Fitina.
Kwa tuliobahatika kidogo Kuyasikia mambo aliyokuwa akifanyiwa huyu Brigedia Jenerali ambaye naamini sasa atakuwa ni Meja Jenerali na Wakubwa zake hasa alipokuwa Mlalakuwa miaka ya nyuma na kwa Majungu tu ya baadhi wakaamua Kumuondoa hapo na Kumtupa kabisa Ruvu acheni tu Afande Charles Mbuge sasa ‘ atambe ‘ na Yeye ale Bata.
Ama hakika Mungu ni Mwema.