Kupitia kwa ‘Baraka ‘ za Vyeo ‘ Mfululizo ‘ alivyopata kwa muda mfupi Afande Charles Mbuge tunajifunza yafuatayo

Kwani lazima? Na kwanini unaonekana Kuteseka sana na Mafanikio ya ghafla na Kuinuliwa Kimamlaka kwa Afande Charles Mbuge Ndugu? au na Wewe ndiyo wale wale mliokuwa mkinyanyasa Baba wa Watu Kipindi kile alipokuwa pale Mlalakuwa na hadi alivyohamishiwa Ruvu? Basi kwa sasa ndiyo mtamkoma na Mwenyezi Mungu anawaumbueni hapa hapa kwa Kumuinua na nyie Kubakia hapo hapo. Tubuni upesi na muanze Kujipanga Kupanga Mistari ya kwenda Kumuomba Msamaha. Mna bahati Baba wa Watu huwa hana Malipizi ( Visasi ) ila hili ' Zali ' ndiyo lingenikuta Mimi ' Maadui ' zangu wote mngenikoma na ndipo mngejua ni kwanini Wimbo wa Taifa hadi leo hauna Video na kwanini Nyoka hana Ugoko.
afande wangu swali mstari mmoja jawabu unajibu kurasa nzima.

sio kwa mapenzi hayo afande.
tumekuelewa afandeeeeeeee
 
Unaeleza mambo meeengi bila point ya msingi.sio kila mtu anamjua huyo mtu wala background yake hivyo ingekua busara kama ungeweka hapa history yake watu waisome kisha waunganusge na mawaidha yako hayo.Au ww ndio huyo afande unayazungumzia yalio ujaza moyo wako???
jamaa anaandika sana alafu mambo yenyewe kawaida sijui kwa nini ana mapenzi haya kwa bosi W sasa wa jkt.
 
Mwenyezi Mungu akikupangia Jambo lako litakuwa tu hata kama kuna Watu wanakuchukia, wanakusambazia maneno mabaya, wanakuzushia, wanakuchafua na hata wengine wanaweza wakawa wanataka Kukuua kwakuwa wanakuona Wewe ni Tishio Kwao ama kwa huo muda au kwa baadae kupitia Nafasi zao ( Vyeo vyao )

Na huyu Afande nahisi Mwenyezi Mungu anazidi Kumfungulia njia za Mafanikio na Kumpa Baraka nyingi kwakuwa huwa hajui Kulipiza Kisasi bali humuachia kila Kitu Mola / Maulana. Na alivyo Muungwana kila alipokuwa akipangiwa kwenda Kufanya Kazi zake ( Kituo cha Kazi ) kama njia ya ' Kumkomoa ' ndiyo Kwanza alikuwa hakatai, anaonyesha Ushirikiano na huko atakapokuwa alikuwa akichapa Kazi hata kuliko pale alipokuwepo awali.

Maisha ya Kikazi / Kimajukumu ya Afande Charles Mbuge yawe ni Somo Kwetu hasa huko sehemu zetu za Kujipatia Riziki.
Upuuzi mtupu..yaani mtu kupangiwa kufanya kazi sehem nyingine basi huo ni kukomoana? Je ambao wanakua kwenye hicho kituo wakifanya kazi nao walikua wanakomolewa?
Black People bhana
 
Hata Mimi najua uko huko muda mwingi Ndugu. Vipi hakuna nafasi huko ili unipigie pande na Mimi hata niwe Muosha Magari au Mzururaji wa Majalalani Kutwa tu Ndugu? Nisalimie sana wana ' System ' wenzako hapo Ndugu. Mkeo pale Ubalozini huwa ana hisa napo au kuna Mchongo huwa anaufanya Ndugu? Dar es Salaam Kwetu huku unatutimbia lini Ndugu? Nakukubali mno Mzee wa System.
Hahah we mzee mi nishakuambia kwamba mi sio norman sigalla

Ingawa namfahamu fika huyo bwana na ni family friend

Mi nakutania sipo kwenye system ni kapuku mmoja naendesha boda boda huku nanjilinji
 
Acha upumbavu we kipele,,,,kama kitu hutaki kujibu kitulize
Kuna ' Mpuuzi ' Mwenzako mmoja hivi aliniuliza Swali kama hili na nikamjibu hivyo nakuomba itafute ' post ' niliyomjibu na acha Kunipotezea muda tafadhali.
 
Naongozwa na Maadili na sijawa na Akili za ' Kipa Katoka ' halafu nikaziweka hapa ila naamini wale wote waliowahi kuwa nae Afande hasa pale Mlalakuwa watakuwa wananielewa vyema tu kile ninachokimaanisha kwani ilifikia muda hadi Watu wengine walikuwa wakiona jinsi Mpiganaji huyu alivyokuwa akinyanyasika kwakuwa tu hakuwa Mnafiki, mpenda Kujipendekeza, hakuwa Muoga na alikuwa akitekekeleza vyema Majukumu yake na sishangai ndiyo maana Askari wengi wanampenda na anakubalika mno hadi sasa huyu Afande Charles Mbuge japo amepitia Mitihani mingi mno tu.

Ama kweli Mungu ni mkubwa na akilipanga lake linakuwa tu hata kama Walimwengu watalichelewesha.
Sasa hapa jukwaani limefata nini kama ni special kwa wana Mlalakuwa? Funguka tu
 
Sisi tuna muitaga digala, op Tanzania ya kiwanda 832kj.. 203 up namba iliyopo afande
 
Upuuzi mtupu..yaani mtu kupangiwa kufanya kazi sehem nyingine basi huo ni kukomoana? Je ambao wanakua kwenye hicho kituo wakifanya kazi nao walikua wanakomolewa?
Black People bhana

Hivi nyie watu (nasema nyie kujumlisha na wengine wenye tabia hii) kwa nini ukiona tatizo kwenye hoja ya mtu unakimbilia kulaumu rangi ya ngozi au Uafrika?? Jamani, hivi watu weusi au Waafrika ndiyo peke yao wanakosea? Mbona hata Wazungu, Wahindi, Wachina wana makosa au matatizo yao kama binadamu lakini sidhani kama wana hii tabia ya hovyo ya kusema ‘Wazungu Bwana!’, ‘White people bhana’, ‘Wahindi bhana’????? Kwa nini huwezi kuona kosa la mtu mmoja kama ni lake mwenyewe badala ya kuunganisha Waafrika wote au watu weusi wote??? Tubadilike. Tujiamini.
 
Charles Mbuge ni mtu wa watu na hupenda kujumuika na kila mtu, na hiyo ni sifa mojawapo ya kung'aa kwa nyota ya mtu.

Ila si wote wanaojumuika basi nyota zao hung;'aa na kuonekana kwenye fursa yoyote ya kimaisha.

Charles Mbuge anapenda mpira na kwa wale wapenzi wa mpira wanaitambua timu ya Ruvu JKT ambayo ilipanda daraja na inacheza ligi kuu, aliehakikisha timu hiyo inapanda ni Charles Mbuge.

Nyota ilianza kung'aa zaidi jina lake lilipopitishwa ili apewe kitengo cha michezo pale JKK kutokana na mafanikio ya JKT Ruvu.

Kila mahala alipopelekwa kutelekeza kazi kazi hizo zimekamilika kwa asilimia 101.

Charles Mbuge alipewa kazi ya kusimamia mji wa serikali Dodoma pale Mtumba na akiwna vijana wapatao 1500 wakapiga kazi na mji ukakamilika na vijana wale wote 1500 waliajiriwa sehemu mbalimbali kwa maagizo ya raisi John Magufuli.

Sasa Magereza wakapewa pesa wajijengee mahali pa kujisitiri wao wakawa wanapiga hesabu za kugawana hizo pesa na ndio sababu hata yule nanihino akatumbuliwa.

Raisi Magufuli alipotembelea mradi huu wa nyumba za Magereza na kuona madudu yaliyofanywa akakumbuka kazi ya Charles Mbuge na huyu kwa kiingereza namwita "Gaffer" akapewa kazi na kaipiga ndani yamuda ulopangwa.

Hongera sana meja jenerali Charles Mbuge kwa mafanikio yako na kupanda vyeo viwili ndani ya muda mfupi kutoka cheo cha kanali, brigedia jenerali na sasa meja Jenerali.
 
Naongozwa na Maadili na sijawa na Akili za ' Kipa Katoka ' halafu nikaziweka hapa ila naamini wale wote waliowahi kuwa nae Afande hasa pale Mlalakuwa watakuwa wananielewa vyema tu kile ninachokimaanisha kwani ilifikia muda hadi Watu wengine walikuwa wakiona jinsi Mpiganaji huyu alivyokuwa akinyanyasika kwakuwa tu hakuwa Mnafiki, mpenda Kujipendekeza, hakuwa Muoga na alikuwa akitekekeleza vyema Majukumu yake na sishangai ndiyo maana Askari wengi wanampenda na anakubalika mno hadi sasa huyu Afande Charles Mbuge japo amepitia Mitihani mingi mno tu.

Ama kweli Mungu ni mkubwa na akilipanga lake linakuwa tu hata kama Walimwengu watalichelewesha.
We jamaa hueleweki, hapo juu kuna comment umesema hujapita jeshini ili kwa habari ulizozisikia kutoka kwa waandamizi km watatu hivyo kyonyesha habari za huyu Afande umezisikia Tu sasa kwenye comment unayomjibu mdau hapa unasema unaongozwa na maadili na hujawa na akilj za kipa katoka, so mpk hapo huoni kama unajichanganya, ukizungumzia maadili means umo dani ya chombo na maadili unayajua ndio maana huwezi kuelezea hapa figisu alizokuwa anafanyiwa bwana Afande na hapo juu umeeleza kwva uliambiwa na watu ambao wako jeshini kama watatu means hauko kwenye chombo, ndugi yng hebu weka sawa hapa tafadhari isijekuwa no mambo ya kujifanya unajua kila jambo
 
Ukidharauliwa na Mabosi wako na Wafanyakazi wenzako usiumie wala kusikitika.
Ukinyanyasika na Mabosi / Wakubwa wako usihuzunike wala usikate tama.
Hata kama Mabosi / Wakubwa watakuchukia Wewe tekeleza tu Majukumu yako Kiufanisi
Unaweza ukachukiwa na wengi ( hasa Mabosi / Wakubwa wako ) ila Mwenyezi Mungu atambariki Mtu Mmoja ambaye hukumtegemea na atakuwa ndiyo Mkombozi wako na atakuinua na kukufanya uwe Binadamu kamili katika Watu.
Uvumilivu unalipa japo unaweza ukayapata hayo Malipo yako kwa Kuchelewa.
Kama ipo ipo tu hata kama Mabosi / Wakubwa wako watakuwa mara kwa mara kwa Chuki zao tu wanakuandikia Ripoti mbaya.
Kusali sana na Kujikabidhi kwa Mwenyezi Mungu ni jambo la muhimu mno katika Maisha ya sasa ya Mwanadamu ambayo yamejaa Chuki, Wivu, Majungu na Fitina.

Kwa tuliobahatika kidogo Kuyasikia mambo aliyokuwa akifanyiwa huyu Brigedia Jenerali ambaye naamini sasa atakuwa ni Meja Jenerali na Wakubwa zake hasa alipokuwa Mlalakuwa miaka ya nyuma na kwa Majungu tu ya baadhi wakaamua Kumuondoa hapo na Kumtupa kabisa Ruvu acheni tu Afande Charles Mbuge sasa ‘ atambe ‘ na Yeye ale Bata.

Ama hakika Mungu ni Mwema.

Ya nini lamba lamba zote hizi na stress ya kutaka watu wakuone?

Fanya biashara hutakaa ulambe mtu matako!

Make your own money na uwape watu ajira!

Acha kulamba watu matako!

Na ukichukua statistics,kati ya askari wote aliefanikiwa kutoka ni huyo Mbuge,hao wengine huwasemei!

Rate of failure ni kubwa hapo!

Unachukua success ya Mbuge una equate na eti ni wote!

Yeye ni one in a milion!

Bado sector ya kulamba watu matako ndio maana inachukua ukubwa sana!

Achana na ajira za kis3nge hizi,fanya biashara lipa kodi toa ajira na utakua na furaha na more developed than anybody,mostly!
 
Hongera Zake
IMG_20190912_064340.jpeg
 

Similar Discussions

30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom