Kupimisha Kiwanja na kupata offer...

Kupimisha Kiwanja na kupata offer...

Wewe ni mjinga huna lolote, inakuwaje unamdanganya kwamba anaweza kupimiwa kiwanja chake peke yake? Unafikri serikali ni mataahira kama Wewe waruhusu usumbufu kama huo unaotaka kumpatia huyo mdau? Nimekwambia hizo gharama unazompa ni za kupima block nzima pumb.a mkubwa!!

Wewe ni kichwa maji kabisa. Unaona namwongopea,nimuongopee kwa sababu gani. Nenda kesho ktk manispaa yoyote hapa dar ukaulize utaona ukweli,nilishasema sibishani ushoga hapa.
 
udsm C.png CERT.png
aliyesema amesoma Arch na kwamba hakukuwa na Bsc in Geomatics pale Ardhi apeleke makalio yake kariakoo baada ya kuangalia hizo certificate, hiyo ni 2001-2005.
 
Wewe ni kichwa maji kabisa. Unaona namwongopea,nimuongopee kwa sababu gani. Nenda kesho ktk manispaa yoyote hapa dar ukaulize utaona ukweli,nilishasema sibishani ushoga hapa.
Asante baba sorovea kutoka chuo cha ardhi Tabora!!!
 
Kumbe nabishana na mjinga hapa. Nilijua kuna jambo unalijua kuhusu hii habari. Kumbe mweupe kabisa. Nimekuambia kama umeamini sasa peleka pale kariakoo.
 
Stesheni 2005 kulikuwa hakuna Bsc in Geomatics Bali Land Surveying. Wakati huo tuliwaita LS mi nilikuwa LMV.

Heshima yako mkuu...
Naamini wewe ni senior sasa katika land management or valuation issue,am still rookie on this and i hope i can get msaada wa kukuza experience yangu katika firm yako/yenu or ofisi unayofanyia kazi mkuu
 
Mjinga huyu,angemaliza mwaka anaotaja ningemjua. Nawajua wote waliomaliza Archt 2005
 
Mimi naomba kuuliza ma surveyor. Kuna eneo langu nilitaka kulipima na nimwashajenga. Ila baada ya kuchukua vipimo linaonyesha lipo kwenye OPEN SPACE. Niliongea na surveyor akanambia kuliondoa kwenye open space inawezekana ila ni gharama kubwa. Je ilo swala linawezekana?

Kama lipo ktk open space achana nalo,watakutapeli tu,zamani sawa watu waliweza kupiga madili lakini kwa sasa NO
 
Nina eneo la miguu 43 kwa 23, nilicheki mchoro katikati kuna barabara imepita, upande mmoja open space na upande mwingine makazi ya watu, hapo vipi?

Angalia huo upande ambao hauna open space kama una ukubwa unaokubalika ili uendelee na proces
 
Kupata kibali cha halmashauri na Kuweka mawe, kwahiyo ni gharama Kidogo za halmshauri na za surveyor kwa ajili ya kugawa na kuchora eneo lako.

Kama eneo lipo ktk surveyed area unamaanisha tayari nalo ni surveyed,labda kama unamaanisha tayari liko ndani ya mipango miji,ambapo unatakiwa ufuate taratibu za kuanza kupima. Kama tayari surveyed sasa nenda manispaa na ramani watakupa maelezo ya umilikishaji.
 
Ameniambia uo mchoro bado haujapitishwa na mkurugenzi wa halmashauri. Na iyo open space anaweza akaamisha kwa mwingine. Nyumba ndio naifanyia finishing

Anakupiga huyo. Usikubali. Kama mcheza madili makubwa sawa.
 
Kama eneo lipo ktk surveyed area unamaanisha tayari nalo ni surveyed,labda kama unamaanisha tayari liko ndani ya mipango miji,ambapo unatakiwa ufuate taratibu za kuanza kupima. Kama tayari surveyed sasa nenda manispaa na ramani watakupa maelezo ya umilikishaji.
Mkuu stesheni ili nijue eneo limekuwa surveyed inabidi niende wapi au nifuate hatua gani ili kugundua hili?

Je, kama majirani zangu hawataki kupima maana ni mashamba hapa inakuaje kama nikihitaji kupimiwa mimi mwenyewe?
 
hahahahah bongo bana,ukiwa na hela rahisi sana,huhitaji kujua utaratibu.
Ina maana JPM hajaweza kukabiliana na upuuzi wa rushwa katika upimaji viwanja?

Mimi binafsi nilianza process za kupimiwa eneo langu huko Pugu Kajiungeni lakini nikaishia kwenye hatua ya kuwekewa mawe huyo surveyor akayatelekeza mawe hapo site hadi wa leo.

Naomba kujuzwa naweza kuendeleza mchakato huo au ni kuanza upya?
 
Process zake ni ndefu sanaa sio rahisi hata kidogo na inabidi hasaaa uwe mvumilivu na muelewa la sivyo utaishia katikati....
 
Kuna eneo lipo Kibaha nilianza process ya kupima, surveyor amepanda mawe na amenikabidhi site plan tu, je muendelezo wake nafanyaje? Kwasababu huu ni mwaka wa nne yule surveyor sijamuona tena ni kiwanja cha hekari tatu, naombeni ushauri wataalamu.
 
Mimi naomba kuuliza ma surveyor. Kuna eneo langu nilitaka kulipima na nimwashajenga. Ila baada ya kuchukua vipimo linaonyesha lipo kwenye OPEN SPACE. Niliongea na surveyor akanambia kuliondoa kwenye open space inawezekana ila ni gharama kubwa. Je ilo swala linawezekana?
inawezekana mkuu, kuna kitu kinaitwa change of land use ambacho kinatambulika kisheria hii inatokana na ukweli ya kwamba maeneo ambayo serikali iliyatenga kwa shughuli fulani ilichelewa kufanya utekelezaji hivyo yakawa kama mapori, watu wakajimilikisha na wengine wakauziwa na serikali za vijiji ukiangalia ramani za mipango miji kuna kitu kina itwa proposed plan na approved plan....kama jengo lako limeingia kwenye eneo la wazi naamini ni kwa kiwango kidogo ambapo hapo itabidi afisa mipango miji achore upya jengo lako liendane na mpango wa sehemu husika kisha apeleke baraza la ardhi la kata kisha baraza la madiwani "washawishike" ku-approve huo mchoro ....mwenyewe nina tatizo kama lako ambalo mpaka sasa linaendelea vyema.....
 
Mkuu stesheni ili nijue eneo limekuwa surveyed inabidi niende wapi au nifuate hatua gani ili kugundua hili?

Je, kama majirani zangu hawataki kupima maana ni mashamba hapa inakuaje kama nikihitaji kupimiwa mimi mwenyewe?
mchukue afisa mipango miji aende na kifaa kinachoita gps akachue coordinates kisha akaangalie kwenye ramani za jiji kama vipimo vya eneo lako zinasomeka, kama zinasomeka atakwambia nyumba yako umejenga kwenye eneo sahihi ama vinginevyo yaai pengone umejenga shuleni, sokoni makaburini nk.. gharama hya zoezi hili haizidi 300000
 
mchukue afisa mipango miji aende na kifaa kinachoita gps akachue coordinates kisha akaangalie kwenye ramani za jiji kama vipimo vya eneo lako zinasomeka, kama zinasomeka atakwambia nyumba yako umejenga kwenye eneo sahihi ama vinginevyo yaai pengone umejenga shuleni, sokoni makaburini nk.. gharama hya zoezi hili haizidi 300000
Yaani mpimaji kuja na GPS na kuchukua coordinates kisha kwenda kuangalia kwenye ramani za jiji ndiyo ighalimu laki tatu?
 
Back
Top Bottom