Labda nitoe mfano ulio hai kabisa na current hapa nilipo;sisi tumejikusanya kama watu 5 na tuna jumla ya ekari 14 na Mara baada ya vipimo vya shamba zima Kwa eneo LA ekari hizo 14 tumepata viwanja 22 na mpimaji amesema kila kiwanja kimoja tumpatie laki mbili unusu je ni sahihi kweli au anatupiga huyu jamaa?
Ni sahihi kabisa hiyo