Nina wasi wasi na jimsia yako.Aliyewaumba hakuwahi kuwapa nafasi na au hata kuwahesabu.
Ila leo wanawake wana kaya zao kama wanaume tulivyo, wana wahubiria hadi makanisani kama tufanyavyo wana nguvu na ushawishi kama tulivyo.
Aliyewaumba alikuwa hajasoma nyakati tu. niite mario ila naweza kuwa babayako.
Mkuu hawa wadogo zetu nikukaa na kusema mwanamke ni dhaifu ni dhaifu hadi ndani familia zao unakuta mzee pesa hana Nguvu hana maamuzi ndani ya nyumba anayalazimishia kisa iliandikwa yeye ni kichwa cha familia.Nimekuelewa sana mkuu hapo ulipo pitia kwa mangi mwambie akupe kinywaji bariiiiidi nakuja kulipa
Uongo wa saa nane huu... Jiulize why tunaishia kuwaslap au kuwakunjia ngumi?[/QUOTE
Hayuko duniani, maana angekuwepo angesikitika sana.Baba yako ni Kiazi Aina Gani?
Wengine mambulula na wengune werevu, pia inategemea na umri wa mwanamke, sasa sijui kwako uko na mwanamke wa aina gani ambaye unataka kumpima uelewa wake ,Ndio endlea
Hauoni upo nje ya mada kiongozi?Nina wasi wasi na jimsia yako.
Bilashaka wewe Sio mwenzetu.
Hata wanawake pia unahitaji kuwa nao karibu kupata kuwajua vizuri.Kwa wanaume Najua maana naishi nao deile ila wanawake sasa
Hakuwa kiazi kama nyie wa siku hizi aisee!!Sasa usiwe Unaongea Ujinga Maana nawe pia una Baba hata kama ni Marehemu
Nilisahau kukuquote my besty... Najua una neno hapa... Nangojea
Aaahh....kumbe unawaamini Wazungu, Sasa wewe endelea kuwaamini na sisi tunaamini maandiko ya muumba wa Aridhi na mbingu, tutaona nani yupo Sahihi kwenye huu mpambano.Wewe unayeamini mimi kuamini vitabu vya kizungu nimekengeuka ila kuamini kwako biblia kuwa mwanamke ni dhaifu ni sawa hatuwezi kuelewana.
Muulize Samson mkuuNaona mkuu umeamua kumchana tu, kila anavyoambiwa haelewi.
Mwanamke ni dhaifu tu mbele ya mwanaume hata amiliki Dunia nzima.
hahaahahahaha ur a womanHakuwa kiazi kama nyie wa siku hizi aisee!!
HESHIMA KWAKO!! Nakutakia Heri na Fanaka katika kipindi hichi cha sikukuu; Blessings for 2018!Kwani nyie huwa mnadhani mwanamke ni nini? Kuna wanwake vilaza kama walivyo wanaume wengine na kuna wanawake wapo vizuri kama walivyo wanaume wengine.
Wewe kwa mfano nakuhakikishia kuna wanawake humu wanakuzidi uwezo kuanzia mwandiko hadi kujieleza bisha nikuitie hapa.
nimewauliza udhaifu wa mwanamke upo kwenye nini hamjibu.Aaahh....kumbe unawaamini Wazungu, Sasa wewe endelea kuwaamini na sisi tunaamini maandiko ya muumba wa Aridhi na mbingu, tutaona nani yupo Sahihi kwenye huu mpambano.
ahahhahaahaahNina Mashaka na uwezo wako wa kufikiri kama ndio huu wa Nyuma ya keyboard wacha tu sisi tuwaponde
We si umesema uwezo wa kufikiri wa wanawake hauujui, sasa wangu umeujuaje? Unajitekenya eti!!!Nina Mashaka na uwezo wako wa kufikiri kama ndio huu wa Nyuma ya keyboard wacha tu sisi tuwaponde