Kama thinking capacity yako ndio poor namna hii, sidhani kama unaweza kupata mwanamke amabae anauwezo mkubwa kufikiri na kupambanua, utapata level yako na utaendelea kuamini hivyo hivyo
Ndege wafananao huruka pamoja atanibeba kama mimi si nitambwakigia mto msimbazi? Halafu unaweza ukute yy mwenyewe kalelewa na mama baba yake alikuwa anahangaika na michepuko huko mpka mpaka kufika hapo dada zake ndiyo wamemsaidia sahizi anawadharau mke atapata wakufanana naye.
Wewe inaonekana udhaifu unaousema kwao ni kwny masuala ya mapenzi na inawezekana ushatendwa sn na hao viumbe.
Kiukweli udhaifu wa wanawake ni ile hali yao ya kuwa wake lkn wapo ambao wapo smart kichwan kuliko unavyodhani pia wanaume wapo ambao wameoza kichwan kuliko wanawake.
Hapana Kwa Maana Namna ulivyokazana ikabidi Nijiulize Maana Kama ni Mwanamke Naanza Kupata Majibu ya Akili za Wanawake....ila Kama ni Mwanaume badilika Utaolewa!