Patience123
JF-Expert Member
- Mar 10, 2013
- 5,088
- 8,769
Uti nna hata cha kukuvwira..Hahaha, haya nivwira!
Nati iti mundu ethikanibighe too nighumirije...
I say 'NO' to domestic violence...
Hangi tutonge kula hetu mtani
Uti nna hata cha kukuvwira..Hahaha, haya nivwira!
AaaaaaHaya mambo ya kupiga wake ndo yana anzia kwenu au hata Baba zenu waliyafanya?
Huwezi kukaa miaka 5 usimchape hata Kofi Mke wako alafu bado ukajiita Baba bora.
Walioenda Jandoni wamenielewa.
Hata wanawake wenyewe hutaman hata siku moja aone unavyompenda kwa kutumia ukali wako sio upole pekee.
Ikumbukwe kuwa usimpige mkeo Mara kwa Mara ila inashauriwa umpige kwa afya ya mapenzi yenu.
Mwanamke akili ni njia moja wapo ya kujenga zaidi upendo tofauti na akikaa miaka mingi ndani ya furaha.
Makofi ni muhimu angalau Mara moja kwa mwaka au miaka miwili
Mwanaume hakosei wewe.hapa aisee .... hatakofi sikubaliani nalo. na wewe mwnaume unapokosea upigwe makofi pia au siku zote mkosaji ni mwanamke tu. kujibizana kupo na kunakera kweli kweli sema tu mwanamke siku zote ana uwezo mkubwa wa kuongea kuliko mwanaume na ndo maana mnaonakushindwa kuongea basi kipigo ndo solution. jilulize " UKIKOSEA WEWE MWANAUME AKUADHIBU NANI??''
Mwanaume hakosei wewe.
Toka lini mkuu akakosea????
Nyie ndio hamjui maana ya Mwanamme na mwanamke zaidi ya kuendekeza hisia
Uti nna hata cha kukuvwira..
Nati iti mundu ethikanibighe too nighumirije...
I say 'NO' to domestic violence...
Hangi tutonge kula hetu mtani
Nmesema kukaa na mwanamke miaka mitano bila kofi moja si dalili nzuri kwa baba borakwa maana nyingine wacha mama yako au dada yako adundwe tu maana wanaendekeza hisia... nimekupata mkuu!!!
ila nna hakika ukija kua na watoto wa kike hutakaa uzungumze nonsense namna hii!!!
Hahahahaaa........aisee kumbe huo ujuzi upo kwenye damu?Aaaaaa
Sheria ya kumpiga mkeo usimpige mbele ya wageni au watoto
Nmesema kukaa na mwanamke miaka mitano bila kofi moja si dalili nzuri kwa baba bora
Teh tehHahahahaaa........aisee kumbe huo ujuzi upo kwenye damu?
Kama wewe una afya njema, chapa kofi moja la shavu. Chapa moja haswa!
Kwenyewe hapaMtani, anishighie du kwa hilo...
Mi kubighwa haaaaai..nnefwa mtani..uwwwiiii...
Chedi...hiirawee?Kwenyewe hapa
Washindadhe
Mola aninusuru....
Nilishuhudia namna mama yangu alivyokuwa anapigwa mpaka anawekwa majeraha na baba, daah..
Yaishie tu kwake kwa kweli. Mimi mtu akinipiga namburuza Korti...kha.
Mtu kama anajiona ana maguvu akapigane na wanaume wenzie,sio mkewe.
Aaiise mkuu ulikoma kama nakuona ulivobabaika na jasho jingi ,,,mwanamke ni kiumbe hatarii sana u must mind your step every second pole lkn ,,,Kuna jamaa alikuwaga ana mfukuzia demu wangu chuo kupindi hicho nipo second year.. Demu mwenyewe ndo aliekuja kuniambia kwamba kuna jamaa lina msumbua lina mtongoza lakini yeye halitaki na namba za huyo jamaa akanipa.. Aisee nilichukia kinoma nikampigia jamaa huku nimewaka hasira na matusi kibao na nika muahidi jamaa tukikutana lazima nimtoe meno yote ya mbele demu nae akaniomba simu amtukane jamaa nikampa... dem akamwambia jamaa akome kumfatilia na huyu ndo Mme wangu (mimi)... Jamaa akawa mpole tu... Baada ya kama wiki hiv Dem akaniomba hela ya saloon nikamwambia sina.. Huwezi amini demu alimpost yule jamaa nilie mpiga mkwara kwenye profile yake ya whatsupp na akaandika" nakupenda mume wangu na mungu akulinde na mabaya ya dunia" nikaogopa hata kumpigia demu kumuuliza kwanini kaamua kufanya vile maana nilihisi atampa jamaa namba zangu wanitukane daaah nilitulia kimya na nikaapa sitakuja kugombana na mtu eti kisa demu...
We acha tu mkuu yaani jamaa niliemtukana ndo akabeba demu mazima... Yaani mpaka leo nikipigiwa na namba huwa nasita kupokea nahisi labda jamaa ana taka kulipa kisasiAaiise mkuu ulikoma kama nakuona ulivobabaika na jasho jingi ,,,mwanamke ni kiumbe hatarii sana u must mind your step every second pole lkn ,,,
hilo nalo neno mkuuNgoja umfumanie then umpige na mkufu wa dhahabu mkuu