Kupigwa au kupigana katika mahusiano

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Dec 29, 2014
15,271
29,879
Kupigwa au kupigana katika mahusiano

Katika vitu ambavyo ni vigumu sana kumshauri mtu kuvumilia kwenye ndoa ni kupigwa. Ndoa ni amani furaha na kuheshimiana, unapooa unamchukua mkubwa mwenzio awe rafiki yako mpenzi wako mfurahishane na kusaidiana sasa hivi kuna kosa gani la mkubwa mwenzio la kukufanya umpige?

Ninaposhindwa kuelewa ni kwanini umpige au mpigane?
Kwa kosa gani hasa?
Mwanamke anapigwankwa mkufu wa dhahabu na upande wa khanga ndugu.

Ila kama unayebondwa ni mwanaume wala usione haya nawe chukua hatua kukomesha unyanyasaji wa kijinsia.
Vipi ndugu yangu ulishawai pitia mikasa ya namna hii katika mahusiano yako?

Ebu tujuze ilikuaje?
 
Ujue ile kumpiga mwanamke kama tabia ya kila siku huo ndio upuuzi, au eti una mpiga ukiwa umelewa hayo ni manyanyaso na watu kama hao ni wa kufungwa jela kabisa.
ila kuna kupiga ile ya kumuonya mara moja moja inaruhusiwa kiaina, ili kuweka order ndani ya nyumba.
 
Huwezi kukaa miaka 5 usimchape hata Kofi Mke wako alafu bado ukajiita Baba bora.

Walioenda Jandoni wamenielewa.

Hata wanawake wenyewe hutaman hata siku moja aone unavyompenda kwa kutumia ukali wako sio upole pekee.

Ikumbukwe kuwa usimpige mkeo Mara kwa Mara ila inashauriwa umpige kwa afya ya mapenzi yenu.

Mwanamke akili ni njia moja wapo ya kujenga zaidi upendo tofauti na akikaa miaka mingi ndani ya furaha.

Makofi ni muhimu angalau Mara moja kwa mwaka au miaka miwili
 
Kuna muda demu anaweza akakufanyia kosa tena hata kwa makusudi tu, yaani usipompiga hata kofi moja la kumtulia kidomodomo, lazima akushangae kwanza!
Kwanza akikaa pekeake atajiuliza sana juu ya uhalali wa wewe kuwa mwanaume.
Maana mwanamke makini anataka mwanaume makini na mwenyemisimamo isiyoeleweka. Itokee time unabadilika mpaka mwanamke anasema yeess this is it. Sio mwananmke kafanya kosa na mwanaume nae anaanza kulia lia tuu oohh bby sijui nini aaarrrgghh!!!
 
Kuna jamaa alikuwaga ana mfukuzia demu wangu chuo kupindi hicho nipo second year.. Demu mwenyewe ndo aliekuja kuniambia kwamba kuna jamaa lina msumbua lina mtongoza lakini yeye halitaki na namba za huyo jamaa akanipa.. Aisee nilichukia kinoma nikampigia jamaa huku nimewaka hasira na matusi kibao na nika muahidi jamaa tukikutana lazima nimtoe meno yote ya mbele demu nae akaniomba simu amtukane jamaa nikampa... dem akamwambia jamaa akome kumfatilia na huyu ndo Mme wangu (mimi)... Jamaa akawa mpole tu... Baada ya kama wiki hiv Dem akaniomba hela ya saloon nikamwambia sina.. Huwezi amini demu alimpost yule jamaa nilie mpiga mkwara kwenye profile yake ya whatsupp na akaandika" nakupenda mume wangu na mungu akulinde na mabaya ya dunia" nikaogopa hata kumpigia demu kumuuliza kwanini kaamua kufanya vile maana nilihisi atampa jamaa namba zangu wanitukane daaah nilitulia kimya na nikaapa sitakuja kugombana na mtu eti kisa demu...
 
Ujue ile kumpiga mwanamke kama tabia ya kila siku huo ndio upuuzi, au eti una mpiga ukiwa umelewa hayo ni manyanyaso na watu kama hao ni wa kufungwa jela kabisa.
ila kuna kupiga ile ya kumuonya mara moja moja inaruhusiwa kiaina, ili kuweka order ndani ya nyumba.
Mkuu hiyo siku moja moja utakuwa unampiga kwa kutumia nini? ngumi au kumchapa viboko?
 
Kuna jamaa alikuwaga ana mfukuzia demu wangu chuo kupindi hicho nipo second year.. Demu mwenyewe ndo aliekuja kuniambia kwamba kuna jamaa lina msumbua lina mtongoza lakini yeye halitaki na namba za huyo jamaa akanipa.. Aisee nilichukia kinoma nikampigia jamaa huku nimewaka hasira na matusi kibao na nika muahidi jamaa tukikutana lazima nimtoe meno yote ya mbele demu nae akaniomba simu amtukane jamaa nikampa... dem akamwambia jamaa akome kumfatilia na huyu ndo Mme wangu (mimi)... Jamaa akawa mpole tu... Baada ya kama wiki hiv Dem akaniomba hela ya saloon nikamwambia sina.. Huwezi amini demu alimpost yule jamaa nilie mpiga mkwara kwenye profile yake ya whatsupp na akaandika" nakupenda mume wangu na mungu akulinde na mabaya ya dunia" nikaogopa hata kumpigia demu kumuuliza kwanini kaamua kufanya vile maana nilihisi atampa jamaa namba zangu wanitukane daaah nilitulia kimya na nikaapa sitakuja kugombana na mtu eti kisa demu...

Hahaaa!Ndugu yangu Dracula uzima upo?pole kwa mkasa mkuu.Mapenzi ni ya ajabu sana kuna wakati hutwaa uzuzu,nawe ukajikuta unazuzuka kweli!Pole kwa mkasa huo wanawake wengi wa chuo Tania zao si njema!Wamemuweka mwanaume kama kitega uchumi madhubuti...ktk history two ndani ya mada ya capitalism kuna kipengele cha primitive ways of accumulating capital during mercantilism..... nadhani na hiyo ya mabibi(warembo wetu) inaangukia hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom